Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kukalilishwa, ndio ukweli stimulant na alcohol hata mwilini zinafanya kazi tofauti. Badala ya kubisha jihabarishe...Kumbe wewe umekaririshwa kuwa kilevi ni alcohol tu? Basi sawa mkemia mkuu wa serikali.
Huyo kifo kinamsubiri. Aanze kuweka pesa za mazishi mapema sio anagida sumu afe awaachie ndugu zake matatizo.Kuna Mjinga mmoja kwa siku anakata Mo Energy hata 5 mpaka 6/7 yeye ni Mo Energy anazinywa km wanavyokunywa Soda au Maji yaan anakunywa km vinywaji vya kawaida tu
Jamaa ukimcheck yupo fresh tu ingawa kuna siku hua anapatwa kahoma Ila anakunywa sana energy drink sana sana Mo Energy anazinywa kuna siku alipiga 8 alafu anacheka tu, anakunywa km SodaHuyo kifo kinamsubiri. Aanze kuweka pesa za mazishi mapema sio anagida sumu afe awaachie ndugu zake matatizo.
Mimi nina uraibu wa supu na chapati 2 hasa mida ya asubuhi. Kwa mujibu wa mleta uzi zile chapati zina madawa ya kulevyaSio kwamba kila kitu chenye uraibu kina dawa za kulevya napinga maan Kuna watu Wana uraibu hata wa Aina za vyakula
Mwili ukishauzoesha ndio unatengeneza uraibu, mfano usingeuzoesha kunywa maji ungekua unakunywa unga mwili ungestick na unga uraibu wako ukisikia kiu unatafuta unga sio majiMimi nina uraibu wa supu na chapati 2 hasa mida ya asubuhi. Kwa mujibu wa mleta uzi zile chapati zina madawa ya kulevya
Utakuta familia zao zinafuata ushauri wa Dr Janabi kwa 100%. Hapa TZ kila mtu alinde familia yake. Mwanasiasa anatokwa na povu kiswahili kiwe lugha ya kufundishia huku watoto wakiwa London masomoni.Alafu unafikiri hao wawili wao na familia zao wanatumia hayo madude
Wanayoyatengeneza
Ova
Huyo hajipendi.Jamaa ukimcheck yupo fresh tu ingawa kuna siku hua anapatwa kahoma Ila anakunywa sana energy drink sana sana Mo Energy anazinywa kuna siku alipiga 8 alafu anacheka tu, anakunywa km Soda
Nmemuonya mara kadhaa hasikii, usiku analalamika kichwa hapo kashapakia energy drink za kutosha akilala ukimwamsha haamkiHuyo hajipendi.
Energy drink zina madhara ya fasta yanayoonekana wazi waziNmemuonya mara kadhaa hasikii, usiku analalamika kichwa hapo kashapakia energy drink za kutosha akilala ukimwamsha haamki
Jamaa anaumwa tu kichwa naona ndio kinachomkuta hizo energy drink anaanza kunywa kuanzia asubuhi kabla ya chai anafuta Chupa 1 kwanza ya energy,Energy drink zina madhara ya fasta yanayoonekana wazi wazi
Wameandika usitumie zaidi ya Lita moja kwa siku hao azam sijui kwa moboss wangu anazinywa hata 3 kila siku kila akisikia kiu anagida
Sio litre moja bali ni chupa mojaWameandika usitumie zaidi ya Lita moja kwa siku hao azam sijui kwa mo
Hicho kichwa kinachouma ni kwa sababu ya kuongezeka mapigo ya moyo. Mwambie apunguze kunywa hicho kilevi kitakuja kumuua kwa ghafla atamuacha demu wake masela yanajigongea kavu hapa duniani.Jamaa anaumwa tu kichwa naona ndio kinachomkuta hizo energy drink anaanza kunywa kuanzia asubuhi kabla ya chai anafuta Chupa 1 kwanza ya energy,
Ni Baba wa watoto wawili ana mke kabisa sio demu, nilishamwambia sana Ila ndio hivyo 'kenge hasikii mpaka sikio livuje damu'Hicho kichwa kinachouma ni kwa sababu ya kuongezeka mapigo ya moyo. Mwambie apunguze kunywa hicho kilevi kitakuja kumuua kwa ghafla atamuacha demu wake masela yanajigongea kavu hapa duniani.
Umeambiwa usinywe zaidi ya chupa 2 kwa siku, we unakunywa chupa 5 kwa siku hapo nani mwenye makosa?alikuwa akigida sio chini ya chupa 5 za energy kwa siku