Daktari Bingwa: Kuna kilevi kwenye kinywaji cha “energy”

Nyeto nayo ina kilevi au hayo madawa maana nayo ina addiction?
Hii haina addiction bali ni suala la kujitakia tu mkuu. Kwani usipopiga nyeto si unaweza kugegeda? Wapiga nyeto wanajitakia wenyewe kwani siku hz kuna wanawake wengi sana wa kugegeda na wwanapatikana kirahisi na kwa unafuu.
 
Idadi ya nyuzi zinazoeleza madhara ya endergy drink huku jamiiforums ni nyingi kuliko hata bangi, sasa kwanini zinakuwa na Arosto kali namna hii?! Wanaweza madawa gani humo?!
 
Cafeine
 
Babu yangu alikuwa akinywa kahawa toka akiwa na miaka 20 mpaka leo 83 bado anadunda na kahawa ina caffein nyingi kuliko izo energy acheni kupotosha watu
 
Utu busara! Daktari aliekufa kwa ugonjwa unaosababishwa kwa kula vyakula ambavyo yeye mwenyewe anawashauri watu wengine wasile.
 
Hiki kinywaji kitawaua watanzania wengi sana kabla serikali haijakipiga marufuku.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…