tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Afande rama kipenyo 3/4 yani nduku haina marinda yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daktari alitakiwa kuulizwa kama vidole vya wanadamu vinalingana upana na urefuKuingia kwa vidole viwili siyo uthibitisho wa kuingiwa au kuwa shoga. Inawezekana na daktari kalazimisha vidole vyake kuingia. maana kwa huo uwazi wa vidole viwili kama mavi ya afande ingekuwa inatoka tu.
Dalili ya kuwa na tezi dume pia ni kutanuka kwa sehemu ya haja kubwa. Dokta alitakiwa aje ua ushahidi usio na mashaka. Hapo mimi naona daktari katengeneza mchongo wa afande kuwa huru kirahisi tu.
Ndivyo wa mareekani wa fukayosi walivyo waelekezaNaona maswali muhimu sana ambayo sina hakika kama yameulizwa ni;
1. Shihidi aieleze Mahakama kama yeye ni mtaalamu wa mfumo wa chakula wa mwanadamu na kama ametoa ushahidi kuthibitisha hilo
2. Shahid, upo uwezekano wa puru/m.kundu wa mwanadamu kuwa wazi kutokana.na maradhi kama bawasiri?
3. Shahidi mlimpima mshtakiwa kama anaugonjwa wa bawasiri?
4. Shahidi, ieleze Mahakama bawasiri zipo ya aina ngapi na huwa inaathiri sehemu gani ya mwili wa mwanadamu
5. Je, upo uwezekano mtuhumiwa kuwa na ugonjwa wa bawasiri
6. Shahidi kama mtaalamu wa afya je, wapo watu wanaozaliwa na uwazi kama alionao mtuhumiwa?
7. Je, na wao wameupata kwa kuingiliwa na vitu vigumu kwa nje?
8. Vitu vigumu unavyovitaja ni vitu gani hivyo, shahidi?
Alafu inavutwa pumzi maana maswali yanayofuata yataharibu swaumu za waja.
Uwazi sio hitimisho kuwa mtu analiwa tako.
Wakina nani wana maelekezo Mkuu, sijaelewa.Ndivyo wa mareekani wa fukayosi walivyo waelekeza
Hizi kuntu kabisa. daktari anatakiwa kufunguliwa kesi ya udhalilishaji na ya kuidanganya mahakama kwa kuleta ushahidi wenye mashaka.Daktari alitakiwa kuulizwa kama vidole vya wanadamu vinalingana upana na urefu
Alafu aeleze Mahakama kwanini vidole viwili na sio vitatu au kimoja
Then aulizwe kama anafahamu njia mbali mbali za kupima tezi dume
Then aambiwe azitaje zote
Akiitaja ile ya kupitisha kidole nyuma
Aulizwe kikipita huyo mtu atakuwa ni shoga?
Arudishwe kuulizwa alitumia kilainishi kupitisha kidole kwenye kundu la mshtakiwa?
Akisema ndio, aulizwe kazi ya hicho kilainishi ilikuwa ni nini?
Akisema kurahisisha muingilio, aulzwe kwa hiyo alilazimisha kuingiza hivyo vidole kwa kutumia kilainishi kilichowezesha vidole kupenya
Hapo atashangaa shangaa akijibu itakua kwao
Then aambiwe ajibu swali na aieleze Mahakama kwanini alitumia kilainishi.
vyovyote atakavyojibu, aulizwe je kikitumika kilainishi kidole kinaweza kupita kwenye kundu lake yeye daktari?
Akijibu hapana kapona akijibu ndio anakutana na swali baya zaidi
aieleze Mahakama kwanini kipenye na je yeye ni shoga.
Akijibu, unamuangalia alafu unaiambia Mahakama huna swali lingine kwa shahidi
Jamhuri wapambane kumrudisha kwenye mstari.
Haya yote sio kwamba tunatetea ushogahapana ni tunataka Jamhri ikisema huyu ni shoga ituambie imejuaje na kuthibitisha vipi na je wakati inafanya yote hayo taratibu za kisheria zilifuatwa?, la sivyo wanaweza siku wakasema mtu yoyote ni shoga na asipate wa kumtetea. Hiyo nfio kazi yetu Mawakili, hatutetei uovu ila tunahakikisha ukisema huu ni uovu useme umejuaje n uovu na mtenda ndio huyo uliyemkamata
Niwie radhi mkuu, usinifananishe na kesi ya huyo mpuuziKwa mfano ndio wewe umepandishwa kizimbani na kidhibiti ukasomewa mashtaka kwa mara ya kwanza utakubali au utakana?,nijibu pls
Naona maswali muhimu sana ambayo sina hakika kama yameulizwa ni;
1. Shihidi aieleze Mahakama kama yeye ni mtaalamu wa mfumo wa chakula wa mwanadamu na kama ametoa ushahidi kuthibitisha hilo
2. Shahid, upo uwezekano wa puru/m.kundu wa mwanadamu kuwa wazi kutokana.na maradhi kama bawasiri?
3. Shahidi mlimpima mshtakiwa kama anaugonjwa wa bawasiri?
4. Shahidi, ieleze Mahakama bawasiri zipo ya aina ngapi na huwa inaathiri sehemu gani ya mwili wa mwanadamu
5. Je, upo uwezekano mtuhumiwa kuwa na ugonjwa wa bawasiri
6. Shahidi kama mtaalamu wa afya je, wapo watu wanaozaliwa na uwazi kama alionao mtuhumiwa?
7. Je, na wao wameupata kwa kuingiliwa na vitu vigumu kwa nje?
8. Vitu vigumu unavyovitaja ni vitu gani hivyo, shahidi?
Alafu inavutwa pumzi maana maswali yanayofuata yataharibu swaumu za waja.
Uwazi sio hitimisho kuwa mtu analiwa tako.
Unafahamu video pia mshtakiwa anaweza kuikataa?? Akasema imetengenezwa. Video Ile haiko clear na ni ya viwango vya chini sanaIzo zingine mbwembwe tu, ili wanasheria waonekane wanafanya kazi.
Ushahidi namba moja ni hiyo hiyo video basi...
Kabisa yaniHizi kuntu kabisa. daktari anatakiwa kufunguliwa kesi ya udhalilishaji na ya kuidanganya mahakama kwa kuleta ushahidi wenye mashaka.
Yani umesema kweli kabisaDaktari alitakiwa kuulizwa kama vidole vya wanadamu vinalingana upana na urefu
Alafu aeleze Mahakama kwanini vidole viwili na sio vitatu au kimoja
Then aulizwe kama anafahamu njia mbali mbali za kupima tezi dume
Then aambiwe azitaje zote
Akiitaja ile ya kupitisha kidole nyuma
Aulizwe kikipita huyo mtu atakuwa ni shoga?
Arudishwe kuulizwa alitumia kilainishi kupitisha kidole kwenye kundu la mshtakiwa?
Akisema ndio, aulizwe kazi ya hicho kilainishi ilikuwa ni nini?
Akisema kurahisisha muingilio, aulzwe kwa hiyo alilazimisha kuingiza hivyo vidole kwa kutumia kilainishi kilichowezesha vidole kupenya
Hapo atashangaa shangaa akijibu itakua kwao
Then aambiwe ajibu swali na aieleze Mahakama kwanini alitumia kilainishi.
vyovyote atakavyojibu, aulizwe je kikitumika kilainishi kidole kinaweza kupita kwenye kundu lake yeye daktari?
Akijibu hapana kapona akijibu ndio anakutana na swali baya zaidi
aieleze Mahakama kwanini kipenye na je yeye ni shoga.
Akijibu, unamuangalia alafu unaiambia Mahakama huna swali lingine kwa shahidi
Jamhuri wapambane kumrudisha kwenye mstari.
Haya yote sio kwamba tunatetea ushogahapana ni tunataka Jamhri ikisema huyu ni shoga ituambie imejuaje na kuthibitisha vipi na je wakati inafanya yote hayo taratibu za kisheria zilifuatwa?, la sivyo wanaweza siku wakasema mtu yoyote ni shoga na asipate wa kumtetea. Hiyo nfio kazi yetu Mawakili, hatutetei uovu ila tunahakikisha ukisema huu ni uovu useme umejuaje n uovu na mtenda ndio huyo uliyemkamata
Sio mbwembwe Mkuu, amini hata wewe unaweza ukakutana na video clip imefanyiwa utundu ikawekwa sura yako hapo, sasa je ukipelekwa Mahakamani, Mahakama ikukute hatiani kwa hiyo video clip?.Izo zingine mbwembwe tu, ili wanasheria waonekane wanafanya kazi.
Ushahidi namba moja ni hiyo hiyo video basi...
Yametimia na maoni yako.Sio mbwembwe Mkuu, amini hata wewe unaweza ukakutana na video clip imefanyiwa utundu ikawekwa sura yako hapo, sasa je ukipelekwa Mahakamani, Mahakama ikukute hatiani kwa hiyo video clip?.
Hata ile video lazima ikaguliwe na mtoa ushahidi atakayeitoa ile clip Mahakamani lazima aeleze kwanini Mahakama iiamini. Nadhani hilo wanaliona na ndio maana wamekwepa kuionesha kwa kisingizio cha mfungo.
Haya mambo ni magumu Mkuu, unaweza kamatwa hujafanya kosa ukapelekwa Mahakamani ukatolewa ushahidi kwa jicho la kawaida ukaonekana ushahidi umenyooka hatari na ndani ukapelekwa, Mungu sio Athumani ukatokea kwenye rufaa.
Haya mambo yapo na ndio maana Mawakili tupo na tunahitaji utaratibu ufuatwe ndipo mtu atiwe hatiani. Sio watu wakurupuke na hisia zao wamtie mtu hatiani.
Hii video mi Sina, naipataje mweeHizi kesi unafanya uchunguzi wa nn wakati videos zinaonesha kabisa jamaa analilia mkunyenge. Huyu kupigwa shaba hadharan tu wenzake wajifunze
Wabongo wamezoea hukumu style ya Makonda, jamaa alikuwa akitoa list za mashoga na wauza unga unaitwa ofisini unapewa hukumu na kama una hela unamkatia unaambiwa usirudie tena, bongo tuna wanasheria wazuri sana tatizo mfumo umeingiliwa na siasa na viongozi wapuuziWasingeweza kumkuta na hatia Mkuu, hili kwa mtu anayejua sheria lilikuwa wazi kabisa nafas ya yeye kushinda ilikuwa kubwa sana. Ila wabongo ukiwaambia wanaona kama mtu unatetea upinde kumbe ni sheria tu zinaongea Mahakamani sio hisia