Daktari: Uvaaji Pedi muda mrefu, kupulizia pafyumu uke kipindi cha hedhi na Uvaaji wa Skin Tight ni chanzo cha muwasho na harufu kali

Daktari: Uvaaji Pedi muda mrefu, kupulizia pafyumu uke kipindi cha hedhi na Uvaaji wa Skin Tight ni chanzo cha muwasho na harufu kali

wazee wa uvinza wana roho ngumu sana 🤣
Kuna Mmoja nilimkaza mwaka 2016 alikuwa ananuka ( anatema ) Mbunye yake ( japo alikuwa ni Mremho, Msomi mkubwa na Daktari Hospitali moja kubwa na maarufu Ilala ) na nakumbuka Harufu yake Kali nilibaki nayo Mwilini mwangu kwa Wiki Mbili na kuanzia hapo Nikamchukia mazima na tukaishia pale pale.
 
"Mwanamke awapo Hedhini anatakiwa Kuvaa Pedi ( Sodo ) kwa Saa 3 au 4 tu, ila Wanawake Wengi wanazivaa kati ya Saa 8 hadi Saa 12 kitu ambacho ni Hatari mno kwa Afya zao"

"Wanawake wengine ili Kupunguza Harufu Kali ya Damu yao ya Hedhi huamua Kujipulizua Pafyumu kitu ambacho ndiyo Hatari maradufu Kwao"

"Uke wa Mwanamke yoyote una Bacteria wazuri ambao hupambana na Hatari yoyote hivyo uvaaji wa Pedi kwa muda mrefu, Upuliziaji wa Pafyumu na Uvaaji wa Skin Tights zao husababjsha Joto Kubwa na Kali Ukeni ambao huwazidi Nguvu Bacteria wazuri kisha Kuzalisha Bacteria wabaya ambao husababisha Uke wao Kuwawasha, kutoka na Fangasi na kutoa Harufu Kali ambayo Siku hizi imekuwa ni Kero Kubwa kwa Wanaume wengi nchini"

Nukuu zote hizi GENTAMYCINE nimezitoa kwa Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na akina Mama jana Usiku Saa 4 alipoalikwa Wasafi FM katika Kipindi cha Usiku kinachoongozwa na Mtangazaji Diva The Boss.

Dada zangu JF Elimu hii iwasaidieni!!
hili darasa ni vema sana wakalizingatia kwasabb hata kwa akili ya kawaida achilia mbali kidakitari iko mantiki mujarabu sana
"Mwanamke awapo Hedhini anatakiwa Kuvaa Pedi ( Sodo ) kwa Saa 3 au 4 tu, ila Wanawake Wengi wanazivaa kati ya Saa 8 hadi Saa 12 kitu ambacho ni Hatari mno kwa Afya zao"

"Wanawake wengine ili Kupunguza Harufu Kali ya Damu yao ya Hedhi huamua Kujipulizua Pafyumu kitu ambacho ndiyo Hatari maradufu Kwao"

"Uke wa Mwanamke yoyote una Bacteria wazuri ambao hupambana na Hatari yoyote hivyo uvaaji wa Pedi kwa muda mrefu, Upuliziaji wa Pafyumu na Uvaaji wa Skin Tights zao husababjsha Joto Kubwa na Kali Ukeni ambao huwazidi Nguvu Bacteria wazuri kisha Kuzalisha Bacteria wabaya ambao husababisha Uke wao Kuwawasha, kutoka na Fangasi na kutoa Harufu Kali ambayo Siku hizi imekuwa ni Kero Kubwa kwa Wanaume wengi nchini"

Nukuu zote hizi GENTAMYCINE nimezitoa kwa Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na akina Mama jana Usiku Saa 4 alipoalikwa Wasafi FM katika Kipindi cha Usiku kinachoongozwa na Mtangazaji Diva The Boss.

Dada zangu JF Elimu hii iwasaidieni!!
fanyieni kazi huu ushauri huenda ule weusi sijui ni sugu au kutu vinaweza kupungua.

Maana huwa najiuliza huwa unatoka wap kwa pisi kali na zinavyopendeza vile
 
Sawa tutaoa ila nanyi acheni kuinyima Mbunye ( K ) Uhuru wake kwa Kuivalishia Chupi, Skin Tights na hapo hapo tena Unaitesa kwa kuipulizia Pafyumu kwani ndiyo Chanzo Kikuu cha kuwa zinatema ( zinanuka ) sana hadi Kunikera GENTAMYCINE nikiwa nakitafuta Kimoko ( Kimoja ) cha Mayele Kitandani.
Skin tights zinasaidia kupunguza friction ya mapaja kama mtu amevaa skirt au gauni. Pia zinasaidia wakati wa upepo mkali kubaki na kakitu ndani nguo ikifunuka. Cha muhimu muda wa kulala kujiachia bila kuvaa kitu ndani ya sleepwear
 
hili darasa ni vema sana wakalizingatia kwasabb hata kwa akili ya kawaida achilia mbali kidakitari iko mantiki mujarabu sana
fanyieni kazi huu ushauri huenda ule weusi sijui ni sugu au kutu vinaweza kupungua.

Maana huwa najiuliza huwa unatoka wap kwa pisi kali na zinavyopendeza vile
Weusi hutokana na msuguano wa mapaja
Na pia njia za kushave.
 
Back
Top Bottom