Daladala bye bye hii namba C inanitosha. Asante Sana Allah

Hongera kwa kununua Dungu jeshi, naona taratibu watanzania tunaacha kuendesha vibakuli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kakutana na beamer namba C bei sawa na bure,sasa zikianza root za mara kwa mara petrol station na garage na kama hana kipato stable ndiyo atazidi kukumbuka heshima ya daladala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…