Daladala bye bye hii namba C inanitosha. Asante Sana Allah

Daladala bye bye hii namba C inanitosha. Asante Sana Allah

Sasa daladala bye bye
Kaa vizuri na Mungu

Muda huu nipo hapa Banana Big John Katika Sheli ya Petro Africa




Vijana tuishi Katika Mungu Mimi hii namba C inanitosha
View attachment 2428881
Britanicca bana. Haka kabima ni ka 1996-99 kama sijakosea. Ujerumani vinawakera sana wanavitupaga jalalani halafu wajanja wanavirefurbish wanamletea mmatumbi
 
Hongera mkuu chuma ya Heshima kabisa hiyo...kikubwa ipe matunzo sasa ili uachane na daladala kabisa!
Kwa gari moja, unakua umepinguza tu, tu siyo kuepuka kabisa. Angala atakapokua na uwezo wa kumiki gari tatu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kakutana na beamer namba C bei sawa na bure,sasa zikianza root za mara kwa mara petrol station na garage na kama hana kipato stable ndiyo atazidi kukumbuka heshima ya daladala.
Route.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kakutana na beamer namba C bei sawa na bure,sasa zikianza root za mara kwa mara petrol station na garage na kama hana kipato stable ndiyo atazidi kukumbuka heshima ya daladala.
Wapanda daladala WA Jf bado tupo tupo Sana Tu!
 
Back
Top Bottom