Britanicca bana. Haka kabima ni ka 1996-99 kama sijakosea. Ujerumani vinawakera sana wanavitupaga jalalani halafu wajanja wanavirefurbish wanamletea mmatumbiSasa daladala bye bye
Kaa vizuri na Mungu
Muda huu nipo hapa Banana Big John Katika Sheli ya Petro Africa
Vijana tuishi Katika Mungu Mimi hii namba C inanitosha
View attachment 2428881
Unatuonea bwana afande.Muhaya ni muhaya tu
Hahaaaa!!eti katika shell ya petrol Africa!!huu ni ugonjwa wa watanzania wengi,Sasa daladala bye bye
Kaa vizuri na Mungu
Muda huu nipo hapa Banana Big John Katika Sheli ya Petro Africa
Vijana tuishi Katika Mungu Mimi hii namba C inanitosha
View attachment 2428933
HAYA LAND ndiyo tatizo kubwaSasa daladala bye bye
Kaa vizuri na Mungu
Muda huu nipo hapa Banana Big John Katika Sheli ya Petro Africa
Vijana tuishi Katika Mungu Mimi hii namba C inanitosha
View attachment 2428933
Kwa gari moja, unakua umepinguza tu, tu siyo kuepuka kabisa. Angala atakapokua na uwezo wa kumiki gari tatu.Hongera mkuu chuma ya Heshima kabisa hiyo...kikubwa ipe matunzo sasa ili uachane na daladala kabisa!
Umepotea mtumishi wa Mungu. Ulikuwa unanivutia sana humu kwa hoja na michango yako ya kiimani.Mkuu Mimi nakutakia kheri, usirudi nyuma uendeshe Hadi V8.
Daladala ni mfumo wa kimasikini Sana tunatakiwa kuukimbia. Bora mwendo Kasi.
Route.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kakutana na beamer namba C bei sawa na bure,sasa zikianza root za mara kwa mara petrol station na garage na kama hana kipato stable ndiyo atazidi kukumbuka heshima ya daladala.
Hahaha. Usafiri ni kitu Muhimu.Umepotea mtumishi wa Mungu. Ulikuwa unanivutia sana humu kwa hoja na michango yako ya kiimani.
Mwambie daladala kama maji usipokunywa basi utayanywaSisi kama umoja wa wapanda daladala tunakwambia "hapa utakuja tu"
3 series, hilo goma hadi leo nalizimiaSasa daladala bye bye
Kaa vizuri na Mungu
Muda huu nipo hapa Banana Big John Katika Sheli ya Petro Africa
Vijana tuishi Katika Mungu Mimi hii namba C inanitosha
View attachment 2428933
Wapanda daladala WA Jf bado tupo tupo Sana Tu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kakutana na beamer namba C bei sawa na bure,sasa zikianza root za mara kwa mara petrol station na garage na kama hana kipato stable ndiyo atazidi kukumbuka heshima ya daladala.
Hahah jamaa ana mbwembwe sanaHongera ila ukiishi kimya kimya bila kutangaza mambo yako itaishi poa sana...
Hilo ni dua la kukuSisi kama umoja wa wapanda daladala tunakwambia "hapa utakuja tu"
Hajatangaza hapo mambo yake, maana humjui na gari huijui.Hongera ila ukiishi kimya kimya bila kutangaza mambo yako itaishi poa sana...
Huyu most high Allah ni yupi? Kuna low na medium Allah?Safi inapendeza.
Daladala ni mateso yaliyochangamka
Praise due to the most high Allah!
Hahahaha utani tu mkuu