Daladala bye bye hii namba C inanitosha. Asante Sana Allah

Hongera sana, ni hatua kubwa hiyo huwezi kununua mchele, nyanya, vitunguu ukapanda daladala hata konde ataona unawasumbua,
Weekend nenda pale Temeke stereo zoa zaga zote weka home...
Mazee gari tamu sana
 
Uweke ndani dawa za kushusha presha kabisa bloangu,ikibidi uwe unatembea nazo wakati wote
 
Haya people bana. Si lazima uwe na gari ndo usipande daladala. Tumia tax, Uber, n.k.
Hapa nia yako najua unataka tujue unamiliki gari aina gani. Anyway hatuna uhakika kama hiyo ni namba C, tena hatujui kama ni yako. Useless...
 
Kwa gari moja, unakua umepinguza tu, tu siyo kuepuka kabisa. Angala atakapokua na uwezo wa kumiki gari tatu.
Wanaume ni kupeana moyo..hata kama tunajua yajayo ni mazito 😂
 
Hivi nshomile hizi sifa zinawasaidia nini hasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…