Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Shekhe nasikia unakunywa bia na kula wanawake wa nje ila kitimoto ndio hugusi kabisaNielewe, nimesema kama ni kuleta foleni basi bajaj ndio zinaleta foleni, bajaj ziondolewe na ma Bus yaletwe mengi tu 20/40 yatasaidia kwa kusaidiana na mwendo kasi, kumbuka wenyemizigo mikubwa na vitu vinavyo kataliwa kwenye mwendokasi watapata mbadala. Uniombe radhi mimi Ksheikh wapi na wapi kwenye makongoro ya kitimoto?