Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
🤣 🤣 🤣Mkuu,Muafrica bila kuwa na akili aliyokuwa nayo Magufuli ni ngumu mnooooo kumuogoza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣Mkuu,Muafrica bila kuwa na akili aliyokuwa nayo Magufuli ni ngumu mnooooo kumuogoza!
Mkuu mantiki yako ni sahihi kama utaamua kuangalia ulipo angukia na sio ulipojikwaa. Aliyevuruga usafiri wa Mwendo kasi ni Magufuli, lawama anastahili yeye sio mwingine!Jiwe aliwahi kutamka kuwa mtamkumbuka kwa mazuri yake. Karma ndiyo imeanza kujibu nini!?
Wazee wa Pwani wameshika mpini. Wao na familia zao wanajitengenezea fursa wao wenyewe na jamaa zao wa karibu. Kibaya zaidi itakuwa ngumu kumpata mrithi wa kiti cha utukufu nje ya wigo wao.
Uzalendo kwao maana yake kuwa chawa kwa kumaanisha kwa upande wao. Aione kwenye jalada Lucas Mwashambwa.
Tuelezee vizuri mkuu, Magufuli aliuvurugaje usafiri wa mwendo kasi?Mkuu mantiki yako ni sahihi kama utaamua kuangalia ulipo angukia na sio ulipojikwaa. Aliyevuruga usafiri wa Mwendo kasi ni Magufuli, lawama anastahili yeye sio mwingine!
kazi watuachie sisi wenyewe waendelee kukwapua kwa urefu wa kambaMatunda ya wala kwaaa kambaaa🤣
Majibu yote wanayo serikali mkuu.Sasa kulikuwa na haja gani ya kumteua mkurugenzi mwingine huku mradi unakufa huku mnapanga kuugawa kwa mgeni?.
Aloo acha tu......Walivyokuwa wa ajabu waliua vituo vya daladala means zitakuwa zinasimama barabarani kupakia, kushusha, kupiga debe na hata zikiharibika. Tutegemee foleni za ajabu na usumbufu wa kutisha!
Sijui tunampataje "Traore" wa kwetu.Ilishasemwa humu hii nchi bila kupasuana kiuhakika ni ngumu kusonga mbele. Inapaswa ukombozi wa mara ya pili upatikane dhidi ya Cartels za Chama Cha Mambuzi.
Hiyo ni kazi yako tunakufahamuSisi tunachoweza ni wizi tu.
We mbwa kamfuate huyo mshamba mwenzio. Rudi kwenu jiulize kwanini Musoma iko vile mpk leo. Yule mhutu aliisadia nini Musoma? Jinga ni jinga tuMkuu,Muafrica bila kuwa na akili aliyokuwa nayo Magufuli ni ngumu mnooooo kumuogoza!
Ni muhimu sasa wajenge vituo vya dalala kwa vile barabara yao iko pembeni.Hivi kulikuwa na ulazima wa kujenga vituo vya mwendokasi ambavyo vinakubali magari ya aina fulani tu?
Haya ndiyo matatizo ya kuamka asubuhi na kunywa uji usiokuwa na sukari!We mbwa kamfuate huyo mshamba mwenzio. Rudi kwenu jiulize kwanini Musoma iko vile mpk leo. Yule mhutu aliisadia nini Musoma? Jinga ni jinga tu
Sasa ni muda wa kununua vinoah viwili vitatu vibebe wafanyakazi wa awamu ya sita kwa bei ya juu kidogo.
Lilikuwa ni suala la muda tu na hatimaye unaweza kusema tumerudi nyuma au tumerudi kwenye maisha yetu ya kawaida au tuliyozoea.
Daladala za kutokea Mbezi mpaka Mnazi Mmoja kupitia Manzese, Magomeni, Fire hadi mnazi mmoja zimeanza kazi rasmi leo.
Hadi muda huu bado zipo chache sana, ila kwa sisi wazee kuliko kuendelea kukaa kusubiri mwendokasi masaa mawili hii ni nafuu.
Na ukiona una ubavu na unaweza kupanda basi unasogea hapo mnazi mmoja ukiwa umeshiba.
Tatizo tunaloenda kupambana nalo ni foleni kutokana na barabara kubana.
PIA SOMA
- Baada ya Serikali kushindwa ni muda sasa wa kurejesha Daladala za kusafirisha abiria Kariakoo-Kimara-Mbezi
Alikuwa na akili zipi ?Mkuu,Muafrica bila kuwa na akili aliyokuwa nayo Magufuli ni ngumu mnooooo kumuogoza!