Wanaondesha usafiri katika jiji la Dar Ni vilaza kupitiliza. Wanarudisha mabasi bila kua na vituo.
Foleni zisizo za muhimu zinarudi Tena.
Hivi hapo jiji wanaona shida gani kuajiri watu wenye akili?
Wabunge wapo, wakuu wa wilaya wapo, mkuu wa mkoa yupo lkn wanashindwa kukaa na kuja na kitu chenye kuleta unafuu kwa maisha yetu.
Baada ya kukosa ubunifu wanawaandama dada utamu.
Foleni zisizo za muhimu zinarudi Tena.
Hivi hapo jiji wanaona shida gani kuajiri watu wenye akili?
Wabunge wapo, wakuu wa wilaya wapo, mkuu wa mkoa yupo lkn wanashindwa kukaa na kuja na kitu chenye kuleta unafuu kwa maisha yetu.
Baada ya kukosa ubunifu wanawaandama dada utamu.