Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani magari mengine hayaharibikiiWalivyokuwa wa ajabu waliua vituo vya daladala means zitakuwa zinasimama barabarani kupakia, kushusha, kupiga debe na hata zikiharibika. Tutegemee foleni za ajabu na usumbufu wa kutisha!
Huu mji una watu wengi sana, huku Dadadala inachota watu, bajaji zinachota watu na hata bodaboda na bado watu haishi vituoni. Tofauti na mkoa, ambako Daladala zinagoma, sababu bajaji kubeba abiria.Kumbe wa daslam mnateseka eeh
Ngoja nimshtue bwashee....hii ruti ina helaMiaka mitatu ya rais mwana mama tumepata yafuatayo.1mwendokasi imekufa rasmi.
2.Shirika la ndege liko taabani.
3.Sgr imesimama.pesa hamna
4.vivuko vya kigamboni vimekufa na
5.kuongezeka Kwa watumishi wazembe,Wala rushwa,wasiozingatia miiko ya kazi na wawekezaji matapeli.
Si sahihi kuruhusu daladala zitumie njia ya mwendokasi na huku mwendokasi zikiwa zinaoperate si salama kwa abiria.Kama mimi ningeruhusu zipite kwenye barabara za mwendokasi zote
Yani we nawe si ungekaa kimya ufiche ukil..aza wako!! Umeboa sana asee. Un*.akily fupi sana aisee.Kwani magari mengine hayaharibikii
Tatizo ni huo muda utakaokaa kituoni kusubiria mwendokasiBado kwa mtu mwenye akili atatumia mwendokasi. Maana hiyo daladala kwa muda itakayokaa foleni na kupiga debe, utatumia masaa hadi mawili. Ni bora usubiri tu mwendokasi.
Sisi tunachoweza ni wizi tu.
Muundo wenye wa mabasi hayo hayapo salama na imechukuwa nafasi tuSi sahihi kuruhusu daladala zitumie njia ya mwendokasi na huku mwendokasi zikiwa zinaoperate si salama kwa abiria.
Vituo vya mwendokasi vyote vingekuwa vimejengwa kama kile cha upande wa Kimara-Mbezi & Kibaha ni sawa kimejengwa katika mfumo ambao hata daladala inaweza kubeba abiria kwa usalama hakipo juu juu kama vingine
Akili fupi kama sentimita ngapi hivii..🙂Yani we nawe si ungekaa kimya ufiche ukil..aza wako!! Umeboa sana asee. Un*.akily fupi sana aisee.
Milimita 0.00000000000001, akiily yenye urefu wa kufika sentimita moja uitolee wapi wew kama huelewi mambo madogo kama hiyo comment uliyokurupuka kumwaga ukilaaz.a wako...Akili fupi kama sentimita ngapi hivii..🙂
Si unaona hujui hata tofauti ya m na m2Akili fupi kama sentimita ngapi hivii..🙂
Hapa umemaliza mkuu... ..Mkuu, kuna jamaa mmoja si wa bara hili jeusi ni wa huko mbali huko.
Huyo jamaa baada ya stori mbili tatu akaniambia "... nyie waafrika mpo hapa duniani na matatizo ni sehemu ya maisha yenu, haitakiwi kumaliza shida miongoni mwenu na serikali zenu hazipaswi kumaliza shida zenu".
Aliendelea... " Serikali ikimaliza shida zenu bado mtaisumbua na kulalamika..."
Kwenye hili la daladala tayari wanatengeneza tatizo ili baadaye waje walitatue kwa njia ya kujibinafsishia miradi hiyo.
Kila anayepewa madaraka anawaza kuiba Tu, CCM ni jangaSisi tunachoweza ni wizi tu.
Watakuaje adui kwa taifa wakati waliruhusiwa na mamlaka ya juu! "Nendeni ila mkale kwa urefu wa kamba zenu".Hapa ndio pakuwaona wala kwa urefu wa kamba ni adui zetu na adui wa taifa😅
Wala msimsingizie mama wa watu, nchi hii hata Nyerere ilimshinda aka-amua kutanduka daluga, wakaja wakina Mwinyi yaleyale - Mkapa akajitahidi kuweka mifumo kwa mbinde kabisa-Kikwete ufisadi ukapamba moto - Magufuli alijaribu kapigwa vita mpaka kajifia..mnataka mama wa watu awape maajaby gani?Huwezi kuendesha nchi asilimia kubwa ya watu wanapiga maneni, ujanjaujanjaMiaka mitatu ya rais mwana mama tumepata yafuatayo.1mwendokasi imekufa rasmi.
2.Shirika la ndege liko taabani.
3.Sgr imesimama.pesa hamna
4.vivuko vya kigamboni vimekufa na
5.kuongezeka Kwa watumishi wazembe,Wala rushwa,wasiozingatia miiko ya kazi na wawekezaji matapeli.
Chawa serikalini utaskia wakisema "Rais Samia AMEFANYA MAKUBWA" 😂😂😂😂😂Wala msimsingizie mama wa watu, nchi hii hata Nyerere ilimshinda aka-amua kutanduka daluga, wakaja wakina Mwinyi yaleyale - Mkapa akajitahidi kuweka mifumo kwa mbinde kabisa-Kikwete ufisadi ukapamba moto - Magufuli alijaribu kapigwa vita mpaka kajifia..mnataka mama wa watu awape maajaby gani?Huwezi kuendesha nchi asilimia kubwa ya watu wanapiga maneni, ujanjaujanja