Daladala za Mbezi kupitia Manzese, Fire hadi Mnazi Mmoja zimeanza kazi rasmi

Daladala za Mbezi kupitia Manzese, Fire hadi Mnazi Mmoja zimeanza kazi rasmi

Bado kwa mtu mwenye akili atatumia mwendokasi. Maana hiyo daladala kwa muda itakayokaa foleni na kupiga debe, utatumia masaa hadi mawili. Ni bora usubiri tu mwendokasi.
Sawa ndugu yangu we kaa usubiri hiyo hapo 👇🏾
Screenshot_2024-05-23-15-22-36-1.png
 
Miaka mitatu ya rais mwana mama tumepata yafuatayo.1mwendokasi imekufa rasmi.

2.Shirika la ndege liko taabani.

3.Sgr imesimama.pesa hamna

4.vivuko vya kigamboni vimekufa na

5.kuongezeka Kwa watumishi wazembe,Wala rushwa,wasiozingatia miiko ya kazi na wawekezaji matapeli.
Ngoja nimshtue bwashee....hii ruti ina hela
 
Kama mimi ningeruhusu zipite kwenye barabara za mwendokasi zote
Si sahihi kuruhusu daladala zitumie njia ya mwendokasi na huku mwendokasi zikiwa zinaoperate si salama kwa abiria.

Vituo vya mwendokasi vyote vingekuwa vimejengwa kama kile cha upande wa Kimara-Mbezi & Kibaha ni sawa kimejengwa katika mfumo ambao hata daladala inaweza kubeba abiria kwa usalama hakipo juu juu kama vingine
 
Sisi tunachoweza ni wizi tu.

Aibu kubwa sana hii. Hakuna tunachoweza. Kusifiana kwa udini au ya ukabila au ya wapi unatoka katika Tanzania, ndio agenda ya sasa. Performance zero.
Sisi wengine tunaomba Mungu atupe hekima tusimbague mtu. Tuishi na kufa kama watanzania
 
Si sahihi kuruhusu daladala zitumie njia ya mwendokasi na huku mwendokasi zikiwa zinaoperate si salama kwa abiria.

Vituo vya mwendokasi vyote vingekuwa vimejengwa kama kile cha upande wa Kimara-Mbezi & Kibaha ni sawa kimejengwa katika mfumo ambao hata daladala inaweza kubeba abiria kwa usalama hakipo juu juu kama vingine
Muundo wenye wa mabasi hayo hayapo salama na imechukuwa nafasi tu
Kama kuna mabasi mengi hata mara 4 ya hayo yaliopo basi changamoto hizo zingeisha kabisa
Watu ni wengi sana na huduma ni ndogo
 
Mkuu, kuna jamaa mmoja si wa bara hili jeusi ni wa huko mbali huko.

Huyo jamaa baada ya stori mbili tatu akaniambia "... nyie waafrika mpo hapa duniani na matatizo ni sehemu ya maisha yenu, haitakiwi kumaliza shida miongoni mwenu na serikali zenu hazipaswi kumaliza shida zenu".

Aliendelea... " Serikali ikimaliza shida zenu bado mtaisumbua na kulalamika..."

Kwenye hili la daladala tayari wanatengeneza tatizo ili baadaye waje walitatue kwa njia ya kujibinafsishia miradi hiyo.
Hapa umemaliza mkuu... ..
 
Miaka mitatu ya rais mwana mama tumepata yafuatayo.1mwendokasi imekufa rasmi.

2.Shirika la ndege liko taabani.

3.Sgr imesimama.pesa hamna

4.vivuko vya kigamboni vimekufa na

5.kuongezeka Kwa watumishi wazembe,Wala rushwa,wasiozingatia miiko ya kazi na wawekezaji matapeli.
Wala msimsingizie mama wa watu, nchi hii hata Nyerere ilimshinda aka-amua kutanduka daluga, wakaja wakina Mwinyi yaleyale - Mkapa akajitahidi kuweka mifumo kwa mbinde kabisa-Kikwete ufisadi ukapamba moto - Magufuli alijaribu kapigwa vita mpaka kajifia..mnataka mama wa watu awape maajaby gani?Huwezi kuendesha nchi asilimia kubwa ya watu wanapiga maneni, ujanjaujanja
 
Wala msimsingizie mama wa watu, nchi hii hata Nyerere ilimshinda aka-amua kutanduka daluga, wakaja wakina Mwinyi yaleyale - Mkapa akajitahidi kuweka mifumo kwa mbinde kabisa-Kikwete ufisadi ukapamba moto - Magufuli alijaribu kapigwa vita mpaka kajifia..mnataka mama wa watu awape maajaby gani?Huwezi kuendesha nchi asilimia kubwa ya watu wanapiga maneni, ujanjaujanja
Chawa serikalini utaskia wakisema "Rais Samia AMEFANYA MAKUBWA" 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom