Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
10k hapanaMpe huyo mhangaikaji nyie wasomi ndiyo doto magari anawanangaga
Ova
Kupigwa kivip?Kwahy kumpa ela mpaka sisi tukwambie umpe au usimpe ukipigwa sisi hatupo
Bei gani? Elf kumi sitoiKwahio ulitaka akuoneshe bure apoteze muda wake bure?? Who are you? Huku mjini sio kwenu matombo, mpe posho yake
Watanzania wengi dhulumatiKwahio ulitaka akuoneshe bure apoteze muda wake bure?? Who are you? Huku mjini sio kwenu matombo, mpe posho yake
Mpe unayotaka kumpatia.....maana watu wanakushauri unabisha si Bora usingeleta madaBei gani? Elf kumi sitoi
Atakua mgeni sana mjiniMpe unayotaka kumpatia.....maana watu wanakushauri unabisha si Bora usingeleta mada
Mpe pesa yake kwani bila yeye ungeiona io nyumbaKuna jamaa nilikua namuuliza vyumba ili nipate sehemu ya kupanga sasa kanionesha sehem lakini saiv tupo hapa anasema tumalizane yani posho yake.
Nimebaki nimeduaa mbona anataka nyingi afu cha ajabu nauli nimemlipia mimi ya kuja uku. Dah.
Ndio kazi ya dalali hiyo kaka mpe tuuKuna jamaa nilikua namuuliza vyumba ili nipate sehemu ya kupanga sasa kanionesha sehem lakini saiv tupo hapa anasema tumalizane yani posho yake.
Nimebaki nimeduaa mbona anataka nyingi afu cha ajabu nauli nimemlipia mimi ya kuja uku. Dah.
Utachezea kichapo muda si mrefuKupigwa kivip?
Madalali daa wanaishi vizur kuliko wenye nyumba! Ungemkuta mida ya kula unamnunulia chkulaKuna jamaa nilikua namuuliza vyumba ili nipate sehemu ya kupanga sasa kanionesha sehem lakini saiv tupo hapa anasema tumalizane yani posho yake.
Nimebaki nimeduaa mbona anataka nyingi afu cha ajabu nauli nimemlipia mimi ya kuja uku. Dah.