Dalali anataka nimpe elf 10tsh hii imekaaje

Kuna jamaa nilikua namuuliza vyumba ili nipate sehemu ya kupanga sasa kanionesha sehem lakini saiv tupo hapa anasema tumalizane yani posho yake.
Nimebaki nimeduaa mbona anataka nyingi afu cha ajabu nauli nimemlipia mimi ya kuja uku. Dah.
Madalali daa wanaishi vizur kuliko wenye nyumba! Ungemkuta mida ya kula unamnunulia chkula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…