evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Kawaida hiyo bila yeye usingeweza ona hizo nyumba alizokuonyesha .
Unamlipa hela ya mguu kama usipoipenda nyumba ikitokea umeipenda ukalipia unamlipa yeye kodi ua mwezi 1 hulipii hiyo hela ya mguu.
Hivyo ndivyo wanavyofanya kazi madalali wa nyumba hata viwanja .
Unamlipa hela ya mguu kama usipoipenda nyumba ikitokea umeipenda ukalipia unamlipa yeye kodi ua mwezi 1 hulipii hiyo hela ya mguu.
Hivyo ndivyo wanavyofanya kazi madalali wa nyumba hata viwanja .