_Unapoanza kulimalima vibustani vya mboga mboga nyumbani.
_unapoanza kusuluhisha watu uonapo wanagombana/kupigana maana dalili ya ujana nikufurahia mabifu na kusema acha wanyooshane.
_kuanza kuvaa mabagi mkanda unavalia tumboni.
_kuanza kumind hata vitu vidogo mf mtu asipokusalimia shughuli anayo anaanza kusema hana nidhamu.
_kuanza kujali hata vitu visivyoeleweka mara ukiona kauchafu tu uwanja au kajani unakaokota na kwenda kutupa shimoni
Kuanza kupenda kuhudhulia kila sherehe na kupenda kupewa kauongozi hata kakugawa soda katika sherehe.
Kuanza kusahau mambo ya fashion ukienda kununua kitu mfano nguo hauangalii fashion ww unaangalia ugumu wa bidhaa.
View attachment 1690708
Sent from my TECNO CA7 using
JamiiForums mobile app