moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Mkuu uzi unachekesha[emoji23][emoji23]Hahaha hahaha hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uzi unachekesha[emoji23][emoji23]Hahaha hahaha hahaha
Hata kwenye ofisi za umma wazee mnapewa kipaumbele.Sikumoja nimeenda kwenye sherehe wakati wa msosi nasikia mshereheshaji anasema "karibuni wazee wetu tukapate chakula" mara, "Mzee pale ongoza njia" nikadhani kuna mzee nyuma yangu, nageuka nyuma hakuna mtu! Dah! Nilinyanyuka kama mfanyabiashara kaitwa ofisi za TRA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila uzee raha sana! No stress!
Utakuaje na umri uliokwisha huku ukiwa hai?Hizi ni dalili za umri kwisha, sio kusogea.
Utakuaje na umri uliokwisha huku ukiwa hai?
Sky, umeongea vizuri sana, mimi huwa nakumbana na hiyo, ni kweli madaktari na polisi ninaokutana nao sasa hivi wengi ni watoto wadogo, naona kumbe mimi na wewe tumemeza chumvi ya kutoshaKuna mama niliongea nae, aliniambia ukikutana na traffic ukawaona ni vijana wadogo au daktari hospitali ukamuona ni kama mjukuu wako. Hapo hakuna ubishi wa chumvi uliyoila duniani.
Dalili hazina time limit acha kukomaza kichwa kwa mambo madogo,kuna mtu anaweza kuona dalili za kuzeeka akiwa kwenye 40s na mwingine akiwa 50s au hata 60s hatufanani.Unaelewa maana ya dalili?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwani wee sio mzee?Mie kuna siku mwendokasi inaanza nikapanda kuona likoje. Nimeingia nimekosa siti kuna mtu mzima akanipisha akaniambia kaa mzee. Nilijitathmini njia nzima na ndio ilikuwa mwisho wa kupanda mwendokasi
Afu sijui kwanini wababa wote wanapenda hivyo lol, mie hua nakerekwa had baas.Nimeanza utaratibu wa kuangalia taarifa za habari kila jioni, nikikuta mda wa habari watu wanaangukia mambo mengine nawauliza hivi ninyi hamtaki kujua ya duniani!!
Hizi ni dalili nzuri za uhenga!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilienda kucheza Moira jumamos/jumapili mazoezi nashangaa watu wanamuita mzee nipasie huku,mshua kwangu,dingo niwekee halafu nikiwaangalia nawaona ni wakubwa
Nimeshtuka nishaanza kuwa muhenga pro max
Hii tabia ni ya mama kabisa, hataki vitu vyake kuguswa, yupo radhi atoe kingine ila sio chake. LolMimi nashangaa maisha yangu yote sikuwahi kupenda Maua wala bustani Kwanza nilikuwa Naona wanapoteza muda. SASA hivi hata Mie siamini ninalima tena kwenye containers mboga ikifa au ikiliwa na mdudu natamani kulia. Du uzee shikamoo.
Kwani bado hujaolewa?Yani kuullizwa unaolewa lini?nahisi nimezeeka jamani
Hii tabia ni ya mama kabisa, hataki vitu vyake kuguswa, yupo radhi atoe kingine ila sio chake. Lol
nimecheka aiseeMie kuna siku mwendokasi inaanza nikapanda kuona likoje. Nimeingia nimekosa siti kuna mtu mzima akanipisha akaniambia kaa mzee. Nilijitathmini njia nzima na ndio ilikuwa mwisho wa kupanda mwendokasi
Uzee umewadia hapo mama, hakna namna.Itabidi nijirekebishe yaani vijana wangu huwa wanacheka wakiona naksirika eti wamechukua charger yaani kuwaziria ni kawaida siulizi kitu mara mbili. Ila nachekwaje? Itabidi nibadilike Jambo dogo nitalikuuzaa.