Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mama niliongea nae, aliniambia ukikutana na traffic ukawaona ni vijana wadogo au daktari hospitali ukamuona ni kama mjukuu wako. Hapo hakuna ubishi wa chumvi uliyoila duniani.
Ndiyo wee ni mzeeInabidi tu nikubali maana hamna namna
Mpige kimoko kwa heshima yangu ha ha haMkuu nimecheka kwa sauti asee.
Daaa mpaka wife ameamka[emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika you made my day,,so ukachanganyikiwa kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie kuna siku mwendokasi inaanza nikapanda kuona likoje. Nimeingia nimekosa siti kuna mtu mzima akanipisha akaniambia kaa mzee. Nilijitathmini njia nzima na ndio ilikuwa mwisho wa kupanda mwendokasi
Jinsi salamu ya salamuya shikamoo inavyoendelea kubadilikq. Shikamoo , shikamoo Dada/kaka, shikamoo Baba /mama , shikamoo Mzee, shikamoo babu/BibiKuna mama niliongea nae, aliniambia ukikutana na traffic ukawaona ni vijana wadogo au daktari hospitali ukamuona ni kama mjukuu wako. Hapo hakuna ubishi wa chumvi uliyoila duniani.
Sisi walokole watu kama ninyi tunasema mmezeeka katika ulimwengu wa rohoSisi ambao umri umesogea lakini tunaonekana kama bado tupo kwenye 20+ tunacomment wapi?
Ukiona umeanza tabia za kuwa too selective kwenye vyakula ujue hapo hakuna ubishi wa chumvi uliyoila duniani.Kuna mama niliongea nae, aliniambia ukikutana na traffic ukawaona ni vijana wadogo au daktari hospitali ukamuona ni kama mjukuu wako. Hapo hakuna ubishi wa chumvi uliyoila duniani.