CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,339
- 5,048
Kupishwa siti kwenye daladala na mtu ambaye ukimuangalia tu,unaona umemzidi umri.Kuna mama niliongea nae, aliniambia ukikutana na traffic ukawaona ni vijana wadogo au daktari hospitali ukamuona ni kama mjukuu wako. Hapo hakuna ubishi wa chumvi uliyoila duniani.