Dalili kubwa 20 za mtu kuwa na uchawi mwilini

Dalili kubwa 20 za mtu kuwa na uchawi mwilini

Nimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.

Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.

1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.

2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).

NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.

TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.
 
Aisee kwa dalili hizo nani atakua hajarogwa sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom