Dalili nane za kuonyesha unaishi kwenye malango yaliyofungwa (closed gates) katika ulimwengu wa roho

Ame copy anakosa majibu
Way through ni nini sasa?
  • Sala na dua
  • Meditation/ tahajudi
  • Kiri kwa kinywa chako kwamba wewe ni mshindi na hamna kitu cha kukutesa daima.
  • Vaa mawe yenye nguvu za kuondoa negative energy kwenye nafsi yako.
  • Tafuta pia mwana saikolojia anaweza kukupa moyo na tumaini
 
Suluhisho ni nini sasa?
Way through ni nini sasa?
  • Sala na dua
  • Meditation/ tahajudi
  • Kiri kwa kinywa chako kwamba wewe ni mshindi na hamna kitu cha kukutesa daima.
  • Vaa mawe yenye nguvu za kuondoa negative energy kwenye nafsi yako.
  • Tafuta pia mwana saikolojia anaweza kukupa moyo na tumaini
 
Ka copy sehemu tu huyu maana hata kutoa solution anashindwa
Niko busy muda wa KAZI, Ila nilishatoa suluhu.

Way through ni nini sasa?
  • Sala na dua
  • Meditation/ tahajudi
  • Kiri kwa kinywa chako kwamba wewe ni mshindi na hamna kitu cha kukutesa daima.
  • Vaa mawe yenye nguvu za kuondoa negative energy kwenye nafsi yako.
  • Tafuta pia mwana saikolojia anaweza kukupa moyo na tumaini
 
Suluhisho ni nini sasa mkuu?
Way through ni nini sasa?
  • Sala na dua
  • Meditation/ tahajudi
  • Kiri kwa kinywa chako kwamba wewe ni mshindi na hamna kitu cha kukutesa daima.
  • Vaa mawe yenye nguvu za kuondoa negative energy kwenye nafsi yako.
  • Tafuta pia mwana saikolojia anaweza kukupa moyo na tumaini
 
Da!!!! wa2 wengi sana 2napitia changamoto hizi!!!
 
Waswahili tunarogana sana, na hamna watu wabaya kama ndugu
braza acha kabisa,mimi nikitembelewa na ndugu kutoka mikoan huwa nawakodishia gest ingawa na nyumba,,,kwangu kulala labda mama na baba!!! m2 umkabidhi chumba usiku anafanya mabalaa,matokeo yake maradhi hayaishi,magomvi na mwenzo[kama unaye hayaishi],kama unamifugo haiendelei,,,,kama unawatoto walio vizuri darasani wanaanza kushuka,,,yaaani da!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…