Wannjanye maley
Member
- Jan 16, 2018
- 18
- 0
Dooo doctor mimi sasa hii yapata mwezi na nusu naona dalili za ambazo zinanitisha, mwazoni kabla nilikua nasumbuliwa na homa za hapa na pale nikaendae mnazi mmoja nikapata vipimo vya kawaida sina kitu wala ukimwi, pima sana, nilipata antibiotic nikatumia, lakini sasa hii sasa hii inanitisha hua nasikia mifupa inaniuma, kidonda Chang hiv nimeweka dawa baada ya kua wiki 3 na siku 4 hakiponi, uchovu wa ajabu, nawashwa mda mwingine, joto kupanda, tumbo dalili nyingi zinanitishia maisha, gharama za vipimo vikubwa siwezi kuzimudu, nina miaka 23 , watu ninaowaeleza wananitisha wanasema itakua kansa ya damu, sina raha tangu mwaka umeanza, mi mwenyewe nasoma ufundi na sijamaliza, naomba msada wako dr