Uchaguzi 2020 Dalili ya mvua ni mawingu. Vyama vya upinzani vimekubali kushindwa kabla ya mtanange kupigwa

Uchaguzi 2020 Dalili ya mvua ni mawingu. Vyama vya upinzani vimekubali kushindwa kabla ya mtanange kupigwa

Chagu wa malunde: Inasikitisha sana kuona mwa jamiiforums akama wewe kuandika utumbo kiasi hiki. Hivi kuvunja katiba ya nchi na sheria za nchi kwa maslahi yako binfsi unaona ni sifa. Mazuri anayo fanya ni kujionyesha tu huku akiua demokrasia katika nchi na kuhatarisha maisha ya wananchi wake. Hata kama hayo munayo msifia kafanya lakini gharama zake nalipa mimi na wewe na tutalipa mpaka tufe na watoto na wajukuu wetu waje warithi umasikini.
 
CCM inashindana na mtu aliyepigwa pingu na yuko kifungoni. Hakuna haja ya tambo na majivuno. Washindani wamekuwa jela miaka yote mitano kutokana na marufuku za kufanya siasa. Tume ya uchaguzi, sheria na kanuni za uchaguzi, mahakama na vyombo vya usalama vyote vinaibeba CCM. Kwa hari hii uko sahihi 100% kwa CCM kuendelea kutawala - watu watake au la.
Mtu. Miaka mitano unafanya siasa wewe tu, kwa kujigamba kuwa umefanya makubwa, ila bado hujiamini, hata kuwaachia wapinzani miezi mitatu tu wafanye siasa bado una ogopa?!! Na mwaka huu hata mzuka wa watu juu ya huo UCHAFUZI, hawana!!!
 
Mkuu Chagu kwa nini unafananisha hali ni na dalili badala ya kuyaita matokeo ambayo yanatalazimishwa kutokea kwa njia iwayo yote ile. Pengine tungeweza kuita kuwa ni dalili kama tu endapi kungekuwa na mazingira rafiki ya kuendesha siasa miongoni mwa vyama washindani.

Picha halisi tuliipata wakati wa uchaguzi wa 2019 wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji. Ahadi zilikuwa ni hizo hizo kuwa utakuwa ni huru na wa haki. Kilichotokea kila mtu alishihudia vitimbwi vyake.

Sasa huu ambao nao una uelekeo na viashiria vyote vya kutokuwepo kwa waangalizi wa kimataifa, utatamalaki kwa rafu na magoli ya mkono na hata kuhamisha magoli. Washehereshaji wakiwa ni NEC, RCs, DCs, TISS, Jeshi la Polisi na "player" mpya aliyesajiliwa msimu huu yaani PCCB.
 
Mkuu Chagu kwa nini unafananisha hali ni na dalili badala ya kuyaita matokeo ambayo yanatalazimishwa kutokea kwa njia iwayo yote ile. Pengine tungeweza kuita kuwa ni dalili kama tu endapi kungekuwa na mazingira rafiki ya kuendesha siasa miongoni mwa vyama washindani.

Picha halisi tuliipata wakati wa uchaguzi wa 2019 wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji. Ahadi zilikuwa ni hizo hizo kuwa utakuwa ni huru na wa haki. Kilichotokea kila mtu alishihudia vitimbwi vyake.

Sasa huu ambao nao una uelekeo na viashiria vyote vya kutokuwepo kwa waangalizi wa kimataifa, utatamalaki kwa rafu na magoli ya mkono na hata kuhamisha magoli. Washehereshaji wakiwa ni NEC, RCs, DCs, TISS, Jeshi la Polisi na "player" mpya aliyesajiliwa msimu huu yaani PCCB.
Hakuna cha kulazimisha matokeo ni kwamba wananchi wa wamekubali mziki wa Ccm. Uchaguzi wa serikali za mitaa mlisusa. Hizo habari zingine ni visingizio vya kushindwa.
 
Wahenga walisema ukiona wingu zito limetanda angani ujue kuna mvua kubwa inakuja kunyesha hivyo chukua tahadhari na tafuta mahala salama ujikinge. Siku zinazidi kuyoyoma na wapinzani wa CCM ndio wanazidi kunywea maana wanajua kwenye uchaguzi wanaenda kukutana na kichapo cha ukweli.

Ninajua wanajiuliza majukwaani watanadi sera gani? Wanakosa majibu. Wanajiuliza tukisimamisha wagombea wa ubunge wanakosa majibu nani atafaaa au nani atarudi tena. Wamekuwa wa baridi na hatusikii hata dalili za watia nia wao maana kila jimbo ni kama kuna shoti ya umeme na wanaogopa kuweka mkono.

Lakini nini hasa sababu ya haya yote? Ni uadilifu, uchapakazi na uzalendo wa JPM ndio umeipa nguvu na kiburi CCM na sasa ina uhakika wa kuchukua kiti cha ubunge au udiwani katika eneo lolote. Maana ni ndani ya miaka minne tu, watu wameshuhudia mabadiliko makubwa sana.

Sekta ya afya, elimu, miundombinu na ulinzi na usalama zote zimeimalishwa. Wapinzani uchwara wanaona aibu tu kukubali na kukaa kando. Lakini wangekuwa na busara wangetulia na kukaa kando.
Wewe ndio wale akina baba mnaokula chakula chote mpaka cha watoto halafu mnajivuna kwa kuwa na vitambi vikubwa wakati watoto wenu wana kwashakoo kutokana na ulafi wenu. Mtu mwenye akili hawezi kamwe kufurahia mazingira ya siasa yalivyo sasa Tanzania isipokuwa wajinga kama wewe.
 
Naona unachanganya mada. Hakuna kinga ya viongozi wasishitakiwe. Watashitakiwa ila kupitia kwa Ag. Fuatilia mambo kwa undani.
Usiwe naive,
AG gani wa kumshitaki raisi??
Kwanza matokeo ya uraisi hayapingwi mahakamani,
Ujambazi uliofanyika kwenye chaguzi za serikali za mitaa,Mkuu ukuuona?au manono ya mfumo,yanakufumba macho,
Mkurugenzi gani atamtangaza mpinzani kama ajira yenyewe wanapewa kama hisani,
Harafu miundombinu mnayoijenga,ni pesa na kodi za wananchi,wanachama na wasio wanachama,mkifanya mazuri,tutapongeza,lakini hata mabaya,myakubali,mpo madarakani tangu Uhuru,
 
Usiwe naive,
AG gani wa kumshitaki raisi??
Kwanza matokeo ya uraisi hayapingwi mahakamani,
Ujambazi uliofanyika kwenye chaguzi za serikali za mitaa,Mkuu ukuuona?au manono ya mfumo,yanakufumba macho,
Mkurugenzi gani atamtangaza mpinzani kama ajira yenyewe wanapewa kama hisani,
Harafu miundombinu mnayoijenga,ni pesa na kodi za wananchi,wanachama na wasio wanachama,mkifanya mazuri,tutapongeza,lakini hata mabaya,myakubali,mpo madarakani tangu Uhuru,
We kichwa chako kimejaa manailoni? Mashitaka kupitia kwa Ag unashindwa kujua ni kitu gani? Kwani hao mawakala wenu huwa mnawaweka wa nini?
Hizo kodi za wananchi kama viongozi sio waadilifu si zinaliwa kama Mbowe alivyokula bil 8!
 
Wahenga walisema ukiona wingu zito limetanda angani ujue kuna mvua kubwa inakuja kunyesha hivyo chukua tahadhari na tafuta mahala salama ujikinge. Siku zinazidi kuyoyoma na wapinzani wa CCM ndio wanazidi kunywea maana wanajua kwenye uchaguzi wanaenda kukutana na kichapo cha ukweli.

Ninajua wanajiuliza majukwaani watanadi sera gani? Wanakosa majibu. Wanajiuliza tukisimamisha wagombea wa ubunge wanakosa majibu nani atafaaa au nani atarudi tena. Wamekuwa wa baridi na hatusikii hata dalili za watia nia wao maana kila jimbo ni kama kuna shoti ya umeme na wanaogopa kuweka mkono.

Lakini nini hasa sababu ya haya yote? Ni uadilifu, uchapakazi na uzalendo wa JPM ndio umeipa nguvu na kiburi CCM na sasa ina uhakika wa kuchukua kiti cha ubunge au udiwani katika eneo lolote. Maana ni ndani ya miaka minne tu, watu wameshuhudia mabadiliko makubwa sana.

Sekta ya afya, elimu, miundombinu na ulinzi na usalama zote zimeimalishwa. Wapinzani uchwara wanaona aibu tu kukubali na kukaa kando. Lakini wangekuwa na busara wangetulia na kukaa kando.

NGOJA KIPYENGA KIPIGWE ALAFU WANANCHI WAELEZWE UKWELI UTASHANGAA SANA .

Tatizo ccm tayari imeshamaliza sera kila siku ukifungua tv TBC UTASIKIA
NDEGE TUMENUNUA
RELI TUNAJENGA
SHULE TUNASOMA BURE
BWAWA LA UMEME TUNACHIMBA


YAANI HII CD ISHACHUJUKA WATU WANATAKA KUSIKIA KWANINI WENGINE WANAKATILIWA KUWA HURU NA WENGINE WANAKUWA HURU.

Na kwasababu watu sio matahira utasikia kitakachofuata.


Mbaya zaidi kipindi hiki vyama vinakwenda vikijua vimejeruhika kwahiyo tutegemee mabaya zaidi ikiwa dola haitatumia Hekima kutangaza chaguo la Wananchi
 
Wahenga walisema ukiona wingu zito limetanda angani ujue kuna mvua kubwa inakuja kunyesha hivyo chukua tahadhari na tafuta mahala salama ujikinge. Siku zinazidi kuyoyoma na wapinzani wa CCM ndio wanazidi kunywea maana wanajua kwenye uchaguzi wanaenda kukutana na kichapo cha ukweli.

Ninajua wanajiuliza majukwaani watanadi sera gani? Wanakosa majibu. Wanajiuliza tukisimamisha wagombea wa ubunge wanakosa majibu nani atafaaa au nani atarudi tena. Wamekuwa wa baridi na hatusikii hata dalili za watia nia wao maana kila jimbo ni kama kuna shoti ya umeme na wanaogopa kuweka mkono.

Lakini nini hasa sababu ya haya yote? Ni uadilifu, uchapakazi na uzalendo wa JPM ndio umeipa nguvu na kiburi CCM na sasa ina uhakika wa kuchukua kiti cha ubunge au udiwani katika eneo lolote. Maana ni ndani ya miaka minne tu, watu wameshuhudia mabadiliko makubwa sana.

Sekta ya afya, elimu, miundombinu na ulinzi na usalama zote zimeimalishwa. Wapinzani uchwara wanaona aibu tu kukubali na kukaa kando. Lakini wangekuwa na busara wangetulia na kukaa kando.
Nimekukataza kuandika upuuzi ukirudia nitakuonyesha cha mtemakuni
 
Wahenga walisema ukiona wingu zito limetanda angani ujue kuna mvua kubwa inakuja kunyesha hivyo chukua tahadhari na tafuta mahala salama ujikinge. Siku zinazidi kuyoyoma na wapinzani wa CCM ndio wanazidi kunywea maana wanajua kwenye uchaguzi wanaenda kukutana na kichapo cha ukweli.

Ninajua wanajiuliza majukwaani watanadi sera gani? Wanakosa majibu. Wanajiuliza tukisimamisha wagombea wa ubunge wanakosa majibu nani atafaaa au nani atarudi tena. Wamekuwa wa baridi na hatusikii hata dalili za watia nia wao maana kila jimbo ni kama kuna shoti ya umeme na wanaogopa kuweka mkono.

Lakini nini hasa sababu ya haya yote? Ni uadilifu, uchapakazi na uzalendo wa JPM ndio umeipa nguvu na kiburi CCM na sasa ina uhakika wa kuchukua kiti cha ubunge au udiwani katika eneo lolote. Maana ni ndani ya miaka minne tu, watu wameshuhudia mabadiliko makubwa sana.

Sekta ya afya, elimu, miundombinu na ulinzi na usalama zote zimeimalishwa. Wapinzani uchwara wanaona aibu tu kukubali na kukaa kando. Lakini wangekuwa na busara wangetulia na kukaa kando.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji109]
 
NGOJA KIPYENGA KIPIGWE ALAFU WANANCHI WAELEZWE UKWELI UTASHANGAA SANA .

Tatizo ccm tayari imeshamaliza sera kila siku ukifungua tv TBC UTASIKIA
NDEGE TUMENUNUA
RELI TUNAJENGA
SHULE TUNASOMA BURE
BWAWA LA UMEME TUNACHIMBA


YAANI HII CD ISHACHUJUKA WATU WANATAKA KUSIKIA KWANINI WENGINE WANAKATILIWA KUWA HURU NA WENGINE WANAKUWA HURU.

Na kwasababu watu sio matahira utasikia kitakachofuata.


Mbaya zaidi kipindi hiki vyama vinakwenda vikijua vimejeruhika kwahiyo tutegemee mabaya zaidi ikiwa dola haitatumia Hekima kutangaza chaguo la Wananchi
Mh... Mkwara mbuzi.
 
Back
Top Bottom