Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
- #41
Ahaaaa. Mikutano ya ndani huwa inahusisha wakata miuno?Sasa kama Magufuli amefanya makubwa kwanini mnaharisha mkiwaona tu hata wanakwaya wa upinzani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaaa. Mikutano ya ndani huwa inahusisha wakata miuno?Sasa kama Magufuli amefanya makubwa kwanini mnaharisha mkiwaona tu hata wanakwaya wa upinzani??
Uchaguzi utafanyika 2025:CCM inashindana na mtu aliyepigwa pingu na yuko kifungoni. Hakuna haja ya tambo na majivuno. Washindani wamekuwa jela miaka yote mitano kutokana na marufuku za kufanya siasa. Tume ya uchaguzi, sheria na kanuni za uchaguzi, mahakama na vyombo vya usalama vyote vinaibeba CCM. Kwa hari hii uko sahihi 100% kwa CCM kuendelea kutawala - watu watake au la.
2025 Ccm itakuwa imefanya makubwa sana zaidi ya haya maradufu. Upinzani utakuwa umekufa kabisa.Uchaguzi utafanyika 2025:
> Kutakuwa na Katiba Mpya,
>Itaongezeka idadi ya wapiga kura vijana wasomi,
>idadi ya wapiga kura wazee wajinga wafia ccm itakuwa ndogo, na
>wanachi watakuwa wameamka kisisa.
Mkuu sina mengi ya kukueleza ila nina jambo moja tu."Nchi hii ni mali ya Watz na siyo ya ccm"Hakuna cha kulazimisha matokeo ni kwamba wananchi wa wamekubali mziki wa Ccm. Uchaguzi wa serikali za mitaa mlisusa. Hizo habari zingine ni visingizio vya kushindwa.
Na Ccm ni mali ya watanzania wazalendo.Mkuu sina mengi ya kukueleza ila nina jambo moja tu."Nchi hii ni mali ya Watz na siyo ya ccm"
MBONA WAPINZANI WAKIFANYA MIKUTANO WANADAKWA...Wahenga walisema ukiona wingu zito limetanda angani ujue kuna mvua kubwa inakuja kunyesha hivyo chukua tahadhari na tafuta mahala salama ujikinge. Siku zinazidi kuyoyoma na wapinzani wa CCM ndio wanazidi kunywea maana wanajua kwenye uchaguzi wanaenda kukutana na kichapo cha ukweli.
Ninajua wanajiuliza majukwaani watanadi sera gani? Wanakosa majibu. Wanajiuliza tukisimamisha wagombea wa ubunge wanakosa majibu nani atafaaa au nani atarudi tena. Wamekuwa wa baridi na hatusikii hata dalili za watia nia wao maana kila jimbo ni kama kuna shoti ya umeme na wanaogopa kuweka mkono.
Lakini nini hasa sababu ya haya yote? Ni uadilifu, uchapakazi na uzalendo wa JPM ndio umeipa nguvu na kiburi CCM na sasa ina uhakika wa kuchukua kiti cha ubunge au udiwani katika eneo lolote. Maana ni ndani ya miaka minne tu, watu wameshuhudia mabadiliko makubwa sana.
Sekta ya afya, elimu, miundombinu na ulinzi na usalama zote zimeimalishwa. Wapinzani uchwara wanaona aibu tu kukubali na kukaa kando. Lakini wangekuwa na busara wangetulia na kukaa kando.
Wanakiuka mashariti.MBONA WAPINZANI WAKIFANYA MIKUTANO WANADAKWA...
ova
Jadi ya mjinga, kwa maana ya asiyeelewa, ni kuwafanya wenzake watu wengine wajinga.2025 Ccm itakuwa imefanya makubwa sana zaidi ya haya maradufu. Upinzani utakuwa umekufa kabisa.
Adui muombee njaa.Kwa jinsi ratiba ya uchaguzi itakavyokuwa "tight" mwaka huu, huku wapiga kampeni ikiwapasa kuwafikia wapiga kura sehemu mbalimbali za majimbo yao ya uchaguzi hapa nchini.
Nami pia naungana na Mkuu Chagu pia kuziona dalili za baadhi ya vyama, kwa kuleta visingizio za sababu za kiafya za wagombea wao, wataweka mpira kwapani na kifufua tena suala la tishio la mlipuko mpya wa COVID-19 hapa nchini, ili kuhalalisha sababu za kuuhairisha uchaguzi wa mwaka huu.
Asili ya Jinga ni UOVU. Ukiona mtu anapenda KINGA NI MUOVU KAMA WAOVU WENGINE TU.Kama uliyosema ni kweli,
Kwanini CCM dola haitaki wapinzani wafanye kampeni?
Na kwanini serikali hii unayodai inapendwa saaaaana na wananchi,ilikimbilia Bungeni tena kwa hati ya dharula kutunga sheria ya kinga ya kushitakiwa kwa viongozi wote wakuu,kama mnapendwa,kinga za nini?mnaogopa nini?
Kampeni huwa zinafanyikia kwenye kumbi?Wakikaa wanachama wa chama kimoja cha siasa ukumbini wanayoyaongea yanawezaje kuwaathiri watu ambao siyo wasikilizaji wa hizi hoja?Msiwapangie kwenye vyama vyao agenda za vikao vyao,siyo sahihi na ni matumizi mabaya ya raslimali za Taifa.Kuwakamata watu wasio na hatia kama majambazi na kuwasafirisha kwa misafara na baadaye wanaonekana hawana makosa.Huu ni ufasadi.Mkutano wa ndani uligeuzwa ukawa wa kampeni. We hujaona wale akina mama wanakata mauno alafu Zitto anachekelea?
We ile clip hujaiona?Kampeni huwa zinafanyikia kwenye kumbi?Wakikaa wanachama wa chama kimoja cha siasa ukumbini wanayoyaongea yanawezaje kuwaathiri watu ambao siyo wasikilizaji wa hizi hoja?Msiwapangie kwenye vyama vyao agenda za vikao vyao,siyo sahihi na ni matumizi mabaya ya raslimali za Taifa.Kuwakamata watu wasio na hatia kama majambazi na kuwasafirisha kwa misafara na baadaye wanaonekana hawana makosa.Huu ni ufasadi.
Itafikia hata kuongea mambo ya ndani ya familia mtataka kuyapanga ninyi?
Masharti yapiWanakiuka mashariti.
Wahenga walisema ukiona wingu zito limetanda angani ujue kuna mvua kubwa inakuja kunyesha hivyo chukua tahadhari na tafuta mahala salama ujikinge. Siku zinazidi kuyoyoma na wapinzani wa CCM ndio wanazidi kunywea maana wanajua kwenye uchaguzi wanaenda kukutana na kichapo cha ukweli.
Ninajua wanajiuliza majukwaani watanadi sera gani? Wanakosa majibu. Wanajiuliza tukisimamisha wagombea wa ubunge wanakosa majibu nani atafaaa au nani atarudi tena. Wamekuwa wa baridi na hatusikii hata dalili za watia nia wao maana kila jimbo ni kama kuna shoti ya umeme na wanaogopa kuweka mkono.
Lakini nini hasa sababu ya haya yote? Ni uadilifu, uchapakazi na uzalendo wa JPM ndio umeipa nguvu na kiburi CCM na sasa ina uhakika wa kuchukua kiti cha ubunge au udiwani katika eneo lolote. Maana ni ndani ya miaka minne tu, watu wameshuhudia mabadiliko makubwa sana.
Sekta ya afya, elimu, miundombinu na ulinzi na usalama zote zimeimalishwa. Wapinzani uchwara wanaona aibu tu kukubali na kukaa kando. Lakini wangekuwa na busara wangetulia na kukaa kando.
Naona unachanganya mada. Hakuna kinga ya viongozi wasishitakiwe. Watashitakiwa ila kupitia kwa Ag. Fuatilia mambo kwa undani.
Walitakiwa wajadili masuala yao sio kukata viuno na kuichamba Ccm. Maana huko ni kuhatarisha amani je wafuasi wa Ccm wangewapopoa mawe?Masharti yapi
Mbona wakiwa kwenye mikutano yao ya ndani wanavamiwa
Ova
Kuna kesi ngapi ambazo serikali inashitakiwa na Ag anasimama kwa niaba ya serikali?Madictator wote hawako tayari kushitakiwa. AG Ni mteule wa rais anawezaje kukubali rais ashitakiwe?
Hizo ni hisia zako. Maana wananchi hawawezi kuchagua walevi wa konyagi wakaacha kuchagua watu watakao watumikia.Chini ya Magufuli hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.