Uchaguzi 2020 Dalili ya mvua ni mawingu. Vyama vya upinzani vimekubali kushindwa kabla ya mtanange kupigwa

Uchaguzi 2020 Dalili ya mvua ni mawingu. Vyama vya upinzani vimekubali kushindwa kabla ya mtanange kupigwa

Kwa hiyo Tanzania siyo Mali ya CCM. Wote tunahaki sawa na mawazo ya wasio wanaccm pia wana hoja za kujenga nchi.CCM ikubaliane na wanachataka Watanzania.
Watanzania wanataka maendeleo yanayoletwa na Ccm.
 
Watanzania wanataka maendeleo yanayoletwa na Ccm.
Unataka tuamini kuwa Watanzania Watakataa maendeleo yatakayoletwa na wapinzani wakishinda uchaguzi kihalali?Acha kufikiria ndani ya box,tazama mbali zaidi(nje)ya box.Tumesikia Sera na mawazo mbadala ya wapinzani, Wananchi wakiridhia mtafanyaje?Mtakimbia na masanduku ya kura?
 
Unataka tuamini kuwa Watanzania Watakataa maendeleo yatakayoletwa na wapinzani wakishinda uchaguzi kihalali?Acha kufikiria ndani ya box,tazama mbali zaidi(nje)ya box.Tumesikia Sera na mawazo mbadala ya wapinzani, Wananchi wakiridhia mtafanyaje?Mtakimbia na masanduku ya kura?
Wapinzani wa kuiletea maendeleo Tanzania hawajazaliwa. Kama ruzuku tu mil 360 mlizifanyia ufisadi na mil 100 mkalipa Mbowe deni hewa. Mkipewa tril 1.7 zitasalimika?
 
Hizo ni hisia zako. Maana wananchi hawawezi kuchagua walevi wa konyagi wakaacha kuchagua watu watakao watumikia.

Ngoja niandike kwa herufu kubwa huenda ukanielewa. CHINI YA MAGUFULI HAKUNA UCHAGUZI, BALI KUNA MAONYESHO YA UJINGA HALISI WA MTU MWEUSI KWENYE BOX LA KURA.
 
Rais ni serikali?
Hii kitu inawachanganya sababu mnakariri na kukurupuka. Kifungu kinasema watakuwa wanashitakiwa wanapofanya shughuli za serikali. Mashitaka yatakuwa yanafunguliwa kwa Ag. Sasa hapo mnapata tabu wapi?
 
Cc
Wapinzani wa kuiletea maendeleo Tanzania hawajazaliwa. Kama ruzuku tu mil 360 mlizifanyia ufisadi na mil 100 mkalipa Mbowe deni hewa. Mkipewa tril 1.7 zitasalimika?
CCM inapokea ruzuku ya Tshs ngapi per month/year?Wamefanyia kazi gani ya kuitolea mfano wa matumizi bora ya ruzuku?Tuache propaganda ya ruzuku,CAG anakagua mapati/matumizi ya ruzuku za vyama vya siasa.
Tujadili utawala bora,CCM inatimiza wajibu wake?Wapi Katiba Mpya ambayo ipo kwenye ilani yenu?Msituletee ngonjera za kumsifia hiyo mnayemfanya Malaika Mkuu.Katiba ilitakiwa kuwa kipaumbele cha kumwezesha kiongozi Mzalendo kufanya vena kuijenga nchi.Kila Mara anapeleka mabadiliko/marekebisho ya sheria kwa hati ya dharura ili kufanikisha anayoyapenda.Tulitakiwa tukamilishe mchakato wa Kuandika Katiba Mpya ili kurahisisha utawala bora.
 
Hii kitu inawachanganya sababu mnakariri na kukurupuka. Kifungu kinasema watakuwa wanashitakiwa wanapofanya shughuli za serikali. Mashitaka yatakuwa yanafunguliwa kwa Ag. Sasa hapo mnapata tabu wapi?

Narudia tena, AG ni mteule wa rais, hakuna uwezo wowote atakubali boss wake ashitakiwe. Hiyo kusema eti atashitakiwa kupitia AG ni kufanya kelele zisiwe nyingi, ila nia ovu ya hiyo sheria iko wazi boss.
 
Narudia tena, AG ni mteule wa rais, hakuna uwezo wowote atakubali boss wake ashitakiwe. Hiyo kusema eti atashitakiwa kupitia AG ni kufanya kelele zisiwe nyingi, ila nia ovu ya hiyo sheria iko wazi boss.
Sio kweli mahakama zipo huru. Wewe uwe na ushahidi na uthibitisho utafanikiwa tu.
 
Cc
CCM inapokea ruzuku ya Tshs ngapi per month/year?Wamefanyia kazi gani ya kuitolea mfano wa matumizi bora ya ruzuku?Tuache propaganda ya ruzuku,CAG anakagua mapati/matumizi ya ruzuku za vyama vya siasa.
Tujadili utawala bora,CCM inatimiza wajibu wake?Wapi Katiba Mpya ambayo ipo kwenye ilani yenu?Msituletee ngonjera za kumsifia hiyo mnayemfanya Malaika Mkuu.Katiba ilitakiwa kuwa kipaumbele cha kumwezesha kiongozi Mzalendo kufanya vena kuijenga nchi.Kila Mara anapeleka mabadiliko/marekebisho ya sheria kwa hati ya dharura ili kufanikisha anayoyapenda.Tulitakiwa tukamilishe mchakato wa Kuandika Katiba Mpya ili kurahisisha utawala bora.
Out of point.
 
Sio kweli mahakama zipo huru. Wewe uwe na ushahidi na uthibitisho utafanikiwa tu.

Sio Mahakama hizi zinazosujudia viongozi. Hizo mahakama zinatumika kuwakomoa wote wasiowasujudia watawala.
 
Huru kwa wale wanaofaidika na utawala uliopo madarakani. Kama kuna kipindi mahakama imejishushushia heshima yake, basi ni chini ya awamu hii
Acha kuishi kwa hisia na ushabiki wa kisiasa ambao hauna tija.
 
Acha kuishi kwa hisia na ushabiki wa kisiasa ambao hauna tija.

Kwasababu siko kwenye njia unayoiamini, basi unataka kuharibu haiba yangu, ili ionekane naongozwa na hisia na ushabiki wa kisiasa. Ninajitambua vya kutosha, na wala sitoki nje ya ukweli. Ww unaweza kuamini au kutetea unachoamini, kwakuwa una maslahi binafsi na utawala huu, lakini akija mtu akasimamia ukweli, bado majibu yake yatakuwa kama ninavyokuambia.
 
Back
Top Bottom