Uchaguzi 2020 Dalili ya mvua ni mawingu. Vyama vya upinzani vimekubali kushindwa kabla ya mtanange kupigwa

Uchaguzi utafanyika 2025:
> Kutakuwa na Katiba Mpya,
>Itaongezeka idadi ya wapiga kura vijana wasomi,
>idadi ya wapiga kura wazee wajinga wafia ccm itakuwa ndogo, na
>wanachi watakuwa wameamka kisisa.
 
Uchaguzi utafanyika 2025:
> Kutakuwa na Katiba Mpya,
>Itaongezeka idadi ya wapiga kura vijana wasomi,
>idadi ya wapiga kura wazee wajinga wafia ccm itakuwa ndogo, na
>wanachi watakuwa wameamka kisisa.
2025 Ccm itakuwa imefanya makubwa sana zaidi ya haya maradufu. Upinzani utakuwa umekufa kabisa.
 
Hakuna cha kulazimisha matokeo ni kwamba wananchi wa wamekubali mziki wa Ccm. Uchaguzi wa serikali za mitaa mlisusa. Hizo habari zingine ni visingizio vya kushindwa.
Mkuu sina mengi ya kukueleza ila nina jambo moja tu."Nchi hii ni mali ya Watz na siyo ya ccm"
 
MBONA WAPINZANI WAKIFANYA MIKUTANO WANADAKWA...

ova
 
Kwa jinsi ratiba ya uchaguzi itakavyokuwa "tight" mwaka huu, huku wapiga kampeni ikiwapasa kuwafikia wapiga kura sehemu mbalimbali za majimbo yao ya uchaguzi hapa nchini.

Nami pia naungana na Mkuu Chagu pia kuziona dalili za baadhi ya vyama, kwa kuleta visingizio za sababu za kiafya za wagombea wao, wataweka mpira kwapani na kifufua tena suala la tishio la mlipuko mpya wa COVID-19 hapa nchini, ili kuhalalisha sababu za kuuhairisha uchaguzi wa mwaka huu.
 
2025 Ccm itakuwa imefanya makubwa sana zaidi ya haya maradufu. Upinzani utakuwa umekufa kabisa.
Jadi ya mjinga, kwa maana ya asiyeelewa, ni kuwafanya wenzake watu wengine wajinga.
Lowasa, akingali PM, aliwahi kuonya kuwa ukosefu wa ajira ni bomu la kitaifa. Wapenda mabadiliko wanashukuru kuwa kilichofanyika mpaka sasa kujenga shule za Kanumba maana nazo zimeongeza jeshi la wanamabadiliko.
CCM inatia huruma. Flyovers, SGR, barabara za lami, umeme, nk. vimecheleweshwa na CCM. Ni vitu vya kawaida kabisa nchi kama Kenya, Ethopia, nk. Mradi wa Stieglers wa wat 2000 unaimbwa si lolote kulinganisha na SA wa10,000.
Viwanda 100 kwa @ wilaya viliishia wapi?
 
Adui muombee njaa.
 
Asili ya Jinga ni UOVU. Ukiona mtu anapenda KINGA NI MUOVU KAMA WAOVU WENGINE TU.
 
Mkutano wa ndani uligeuzwa ukawa wa kampeni. We hujaona wale akina mama wanakata mauno alafu Zitto anachekelea?
Kampeni huwa zinafanyikia kwenye kumbi?Wakikaa wanachama wa chama kimoja cha siasa ukumbini wanayoyaongea yanawezaje kuwaathiri watu ambao siyo wasikilizaji wa hizi hoja?Msiwapangie kwenye vyama vyao agenda za vikao vyao,siyo sahihi na ni matumizi mabaya ya raslimali za Taifa.Kuwakamata watu wasio na hatia kama majambazi na kuwasafirisha kwa misafara na baadaye wanaonekana hawana makosa.Huu ni ufasadi.
Itafikia hata kuongea mambo ya ndani ya familia mtataka kuyapanga ninyi?
 
We ile clip hujaiona?
 

Chini ya Magufuli hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Naona unachanganya mada. Hakuna kinga ya viongozi wasishitakiwe. Watashitakiwa ila kupitia kwa Ag. Fuatilia mambo kwa undani.

Madictator wote hawako tayari kushitakiwa. AG Ni mteule wa rais anawezaje kukubali rais ashitakiwe?
 
Masharti yapi
Mbona wakiwa kwenye mikutano yao ya ndani wanavamiwa

Ova
Walitakiwa wajadili masuala yao sio kukata viuno na kuichamba Ccm. Maana huko ni kuhatarisha amani je wafuasi wa Ccm wangewapopoa mawe?
 
Madictator wote hawako tayari kushitakiwa. AG Ni mteule wa rais anawezaje kukubali rais ashitakiwe?
Kuna kesi ngapi ambazo serikali inashitakiwa na Ag anasimama kwa niaba ya serikali?
 
Chini ya Magufuli hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Hizo ni hisia zako. Maana wananchi hawawezi kuchagua walevi wa konyagi wakaacha kuchagua watu watakao watumikia.
 
hakuna anaye weza kujipima ubavu na RAis Magufuli, hata hao wagombea wa upinzani wanaenda kugombea kama ushahidi tu.....lkn mbele ya JPM wametepeta kabla mechi haijaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…