Yani hapo ndo tunaharibu kwa kusema mabinti wenyewe ndo hawahawa inawezekana sio mabinti wote ni waasherati amini nakuambia. Huenda unaowaona wewe wako hivyo lakini kuna ambao huwajui na hujawahi waona na ni mabinti haswaaaSasa huyo binti anayemtii na kumheshimu babaye ni hawa hawa ama wapo wengine…..
Kama utaweza kuniambia kwann wanawake weng siku hzi wanaolewa wangali wajawazito kibaya zaid na mimba ni kubwa tu…
Na mm ntakwambia kwann siku hizi mabikra ni wawili kati ya mia
Sasa huyo binti anayemtii na kumheshimu babaye ni hawa hawa ama wapo wengine…..
Kama utaweza kuniambia kwann wanawake weng siku hzi wanaolewa wangali wajawazito kibaya zaid na mimba ni kubwa tu…
Na mm ntakwambia kwann siku hizi mabikra ni wawili kati ya mia