Kiba anabana sauti kuliko mondi, sijui unampendea niniNampenda Kiba...
Ila hiyo NO.2 mtoe hapo...
Mpe yule Mtoto wa Kimakonde...Kwa heshima...
NO.3 The Kid you Know.....Marioo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiba anabana sauti kuliko mondi, sijui unampendea niniNampenda Kiba...
Ila hiyo NO.2 mtoe hapo...
Mpe yule Mtoto wa Kimakonde...Kwa heshima...
NO.3 The Kid you Know.....Marioo
Nani nampendea nini?Kiba anabana sauti kuliko mondi, sijui unampendea nini
😁😁😁Ashuke mara ngapi. Kaisha shuka tayari!
Ndipo akili yako ilipoishia?Ukitaka kujua wivu ni nini soma maelezo ya mtoa mada mpaka mwisho
Mnatamani tupotee kwenye Map.... roho mbaya tu🚨🧵 Siyo kwa Ubaya wala Dharau kwa mashabiki wa Eneo fulani, point ya msingi hapa ni kuwa ,kuna Ukubwa fulani msanii akifikia
(VENUE/ mahala anapo fanyia show) kuwa na standards fulani)
Kama Ambavyo Msanii huwa Anachagua Aina ya wasanii wa kufanya nao COLLABO why not 👇
VENUE (mazingira yatakayo endana na status yake) ?!
●Neno BRAND limekuwa kama geresha tu lakini most of our favorites and icons, hawaliishi ipasavyo
Imagine msanii ndani ya mwezi, unamuona kwenye
□Arobaini ya mtoto wa fulani
■Birthday parties
■Baby shower
■mara jukwaa la siasa
■interviews 7
Na hii ni kwa wasanii wote Tanzania, lazima wawe na standards zao,siyo tu upande wa collabo
Kuwa EXPENSIVE (siyo tu gharama yako per shows) hata upatikanaji wako usiwe wa simu moja tu kama mtu asiye na mambo mengine anasubiria mchongo
Sometimes, siyo nyimbo zote zinahitaji videos
Msingi wa muziki ni ala na sauti tu, picha ni ziada, ya watu kujua anaye imba na kutengeneza bond
Tunaweza kuwa tunalaumu, directors kwa kukosa ubunifu, kumbe sometimes tunakuwa tumechoka kuwaona kila dakika
MWISHO: sina chuki na msanii yeyote, hayo ni mawazo/ mtazamo wangu
Na mchango wangu katika ukuaji wa sanaa nchini (peace)
#DramaWasHere ✍
Diamond in Tz still no 1
Alikiba no 2
The rest is history
Kuhusu kupigiwa simu ,Mfano umekaa gheto huna mchongo hii utokea Sana hata kwa kina Bana boi inatokea show kukata kawaida
That way msanii au wasanii wanashauriwa Sana kusave pesa. Kutoka katika muziki ili waanzishe side hustle tofauti na muziki so nahis mond alibarikiwa akili ya kuona Kesho yake na kuandaa investment zake mapema
Diamond kafika hapo juu unajua ametoa Ajira ngapi ?Namba 1 kwenye yapi?
1. Kulala na wanawake wengi kila sekunde
2. Kutojitambua kuwa mzazi... Dedi biti
3. Hajiamini na mlazimishq kutirendi
4. Hajawahi kukuza wasanii kwa Lebo yake..
5. Msanii mchoyooooo
6.
7.
8.
9.
10.
.....
30.
Malizia
Sasa kama kipofu utaonajeMashudu tupu,sijaona hoja za msingi
Hamna aliye ombaNdg zangu tupambane acheni hizi mambo za kuomba walio juu kuwa chini haitusaidii kitu...
Labda kucheza na akili yako😁Nasibu ameporomoka kwa kuzingatia kigezo gani?
Jamaa ana hela..
Na anajua kucheza na akili za watu.
Ataachia chuma soon.. mtafungua UZI mwingine kusema Mondi amerudi hewani.
Pumba tupuSasa kama kipofu utaonaje
Mkuu hakuna hoja yoyote strong uliyoweka kuonyesha Diamond kashuka, Diamond amepata shavu yupo kwenye series ya famous, Young & African ipo chini ya netflix kuanzia season 1 mpaka hii ya sasa season 2 teyari hapo kapata mpunga wake mzuri🚨🧵 Siyo kwa Ubaya wala Dharau kwa mashabiki wa Eneo fulani, point ya msingi hapa ni kuwa ,kuna Ukubwa fulani msanii akifikia
(VENUE/ mahala anapo fanyia show) kuwa na standards fulani)
Kama Ambavyo Msanii huwa Anachagua Aina ya wasanii wa kufanya nao COLLABO why not 👇
VENUE (mazingira yatakayo endana na status yake) ?!
●Neno BRAND limekuwa kama geresha tu lakini most of our favorites and icons, hawaliishi ipasavyo
Imagine msanii ndani ya mwezi, unamuona kwenye
□Arobaini ya mtoto wa fulani
■Birthday parties
■Baby shower
■mara jukwaa la siasa
■interviews 7
Na hii ni kwa wasanii wote Tanzania, lazima wawe na standards zao,siyo tu upande wa collabo
Kuwa EXPENSIVE (siyo tu gharama yako per shows) hata upatikanaji wako usiwe wa simu moja tu kama mtu asiye na mambo mengine anasubiria mchongo
Sometimes, siyo nyimbo zote zinahitaji videos
Msingi wa muziki ni ala na sauti tu, picha ni ziada, ya watu kujua anaye imba na kutengeneza bond
Tunaweza kuwa tunalaumu, directors kwa kukosa ubunifu, kumbe sometimes tunakuwa tumechoka kuwaona kila dakika
MWISHO: sina chuki na msanii yeyote, hayo ni mawazo/ mtazamo wangu
Na mchango wangu katika ukuaji wa sanaa nchini (peace)
#DramaWasHere ✍
Kwahiyo Zuchu ana nyota kuliko Diamond?Umaarufu wake unabebwa na nguvu ya wanawake kupitia nyota zao