pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Yuko busy kuanika Siri za Zari kwa wa bebez wake wapya mziki wa mdomoni labda ila bongofleva kamuachia King Kiba, momaa yeee boma liwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zuchu hawezi bila diamond.Kwahiyo Zuchu ana nyota kuliko Diamond?
kiswahili chako kinanifurahisha sana 🤣🤣🤣🤣🤣Ungeandika kizaidi tu.. hata kutaja hayo na maeneo unamsema..
kiswahili chako kinanifurahisha sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Diamond hasnt given out a hit in a long time....🚨🧵 Siyo kwa Ubaya wala Dharau kwa mashabiki wa Eneo fulani, point ya msingi hapa ni kuwa ,kuna Ukubwa fulani msanii akifikia
(VENUE/ mahala anapo fanyia show) kuwa na standards fulani)
Kama Ambavyo Msanii huwa Anachagua Aina ya wasanii wa kufanya nao COLLABO why not 👇
VENUE (mazingira yatakayo endana na status yake) ?!
●Neno BRAND limekuwa kama geresha tu lakini most of our favorites and icons, hawaliishi ipasavyo
Imagine msanii ndani ya mwezi, unamuona kwenye
□Arobaini ya mtoto wa fulani
■Birthday parties
■Baby shower
■mara jukwaa la siasa
■interviews 7
Na hii ni kwa wasanii wote Tanzania, lazima wawe na standards zao,siyo tu upande wa collabo
Kuwa EXPENSIVE (siyo tu gharama yako per shows) hata upatikanaji wako usiwe wa simu moja tu kama mtu asiye na mambo mengine anasubiria mchongo
Sometimes, siyo nyimbo zote zinahitaji videos
Msingi wa muziki ni ala na sauti tu, picha ni ziada, ya watu kujua anaye imba na kutengeneza bond
Tunaweza kuwa tunalaumu, directors kwa kukosa ubunifu, kumbe sometimes tunakuwa tumechoka kuwaona kila dakika
MWISHO: sina chuki na msanii yeyote, hayo ni mawazo/ mtazamo wangu
Na mchango wangu katika ukuaji wa sanaa nchini (peace)
#DramaWasHere ✍
yatapita na Zuwena sio hit song?Diamond hasnt given out a hit in a long time....
Those are garbages compared to what Harmonize released at the same time.yatapita na Zuwena sio hit song?
Hayo ni Maoni yako lakini hizo ngoma zimehit Sana mpaka video queen akawa maarufu kwa ukubwa wa hizo ngomaThose are garbages compared to what Harmonize released at the same time.
Nigga diamond is in the hole
Sijasikia hit from him in a long time....na ninaposema long time I mean long time...years!
The past 2-3years Diamond has never given out a project better than HarmonizeHayo ni Maoni yako lakini hizo ngoma zimehit Sana mpaka video queen akawa maarufu kwa ukubwa wa hizo ngoma