Dalili za Diamond Platnumz kushuka kimuziki hizi hapa

Mnatamani tupotee kwenye Map.... roho mbaya tu
 
Nasibu ameporomoka kwa kuzingatia kigezo gani?

Jamaa ana hela..

Na anajua kucheza na akili za watu.

Ataachia chuma soon.. mtafungua UZI mwingine kusema Mondi amerudi hewani.
 

Namba 1 kwenye yapi?

1. Kulala na wanawake wengi kila sekunde
2. Kutojitambua kuwa mzazi... Dedi biti
3. Hajiamini na mlazimishq kutirendi
4. Hajawahi kukuza wasanii kwa Lebo yake..
5. Msanii mchoyooooo
6.
7.
8.
9.
10.

.....

30.


Malizia
 
Namba 1 kwenye yapi?

1. Kulala na wanawake wengi kila sekunde
2. Kutojitambua kuwa mzazi... Dedi biti
3. Hajiamini na mlazimishq kutirendi
4. Hajawahi kukuza wasanii kwa Lebo yake..
5. Msanii mchoyooooo
6.
7.
8.
9.
10.

.....

30.


Malizia
Diamond kafika hapo juu unajua ametoa Ajira ngapi ?
 
Nasibu ameporomoka kwa kuzingatia kigezo gani?

Jamaa ana hela..

Na anajua kucheza na akili za watu.

Ataachia chuma soon.. mtafungua UZI mwingine kusema Mondi amerudi hewani.
Labda kucheza na akili yako😁
 
Mkuu hakuna hoja yoyote strong uliyoweka kuonyesha Diamond kashuka, Diamond amepata shavu yupo kwenye series ya famous, Young & African ipo chini ya netflix kuanzia season 1 mpaka hii ya sasa season 2 teyari hapo kapata mpunga wake mzuri
 
Umaarufu wake unabebwa na nguvu ya wanawake kupitia nyota zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…