Dalili za Diamond Platnumz kushuka kimuziki hizi hapa

Yuko busy kuanika Siri za Zari kwa wa bebez wake wapya mziki wa mdomoni labda ila bongofleva kamuachia King Kiba, momaa yeee boma liwanza.
 
Diamond hasnt given out a hit in a long time....
 
yatapita na Zuwena sio hit song?
Those are garbages compared to what Harmonize released at the same time.

Nigga diamond is in the hole

Sijasikia hit from him in a long time....na ninaposema long time I mean long time...years!
 
Umeandika upuuzi mtupu. Kwan chunya diamond Hana mashabiki?? Acha wivu
 
Those are garbages compared to what Harmonize released at the same time.

Nigga diamond is in the hole

Sijasikia hit from him in a long time....na ninaposema long time I mean long time...years!
Hayo ni Maoni yako lakini hizo ngoma zimehit Sana mpaka video queen akawa maarufu kwa ukubwa wa hizo ngoma
 
Hayo ni Maoni yako lakini hizo ngoma zimehit Sana mpaka video queen akawa maarufu kwa ukubwa wa hizo ngoma
The past 2-3years Diamond has never given out a project better than Harmonize

Its a FACT....Deal with it

Harmonize,Marioo and others have been running circles around this Diamond fool

Never hear any hit from Diamond and his minions in a long time!

FACT is,Diamond is in the toilet gutter!
 
Hata akishuka hadaiwi na mtu. Katawala kwa muda mrefu sana jambo ambalo siyo la kawaida kwa gemu gumu kama hili la muziki. Na inavyoonekana ana akili na kawekeza vizuri hivyo hatakaa afe na njaa.

Na itachukua vizazi vingi kupatikana mwingine kama yeye. Apewe maua yake pulizi 🙌
 
Bongo HAKUNA msanii mkubwa, Bongo HAKUNA mtu maarufu...
Bongo watu/wasanii wanajifanya wakubwa kwa kujiwekea bodyguards kutembea na msafara wa magari ilimradi waonekane Wana majina na marufu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…