Dalili zinazoashiria kuwa umeanza kupigika kimaisha

Dalili zinazoashiria kuwa umeanza kupigika kimaisha

1. Kupiga miayo mpaka machozi yanatoka
2. Kila umuonae unahisi ana matumizu mabaya ya hela
3. Kuwa mtu wa lawama muda wote
4. Kuanza kutamani mawe au matofali unayoyapita mtaani kuwa mkate
5. Kujikakamua wakati wa game ili usifel na kitandani

[emoji23] [emoji119]
 
Kuona kila mtu ni adui yako.
Kuona wenzako wote hawana akili.
Kuwa na hasira za ajabu ajabu.
Kuchukia wanawake na kuwaona si waaminifu.
Kuchukia shughuli unayoifanya.
Kuona dunia imekwisha.
Kukumbuka ndugu hata uliokuwa huna habari nao.
 
Kushindwa kulipa bili za umeme na maji unapoishi..

Kurudia kuvaa nguo chafu.

Kushindwa kufanya usafi mazingira yako.

Kukombeleza mafuta kwenye makopo.

Kuanza kujifichaficha ili watu wasikuone.

Kunywa balimi au safari wakati kinywaji chako ilikuwa Heineken au Windoheck.

Kuanza kuuza uza baadhi ya vitu vyako...

Kuachana na pisi kali kali.

Kutafuta vifurushi vya bei nafuu.

Kushindwa kulipa kodi unapoishi.

Wale washikaji zako na mademu kuacha kukupigia simu.

Kuhamia sehemu ambapo kodi ni nafuu.

Kupungua mwili/Kukonda.


Wengine tuandike uhalisia wa maisha yetu....
 
Kushindwa kulipa bili za umeme na maji unapoishi..

Kurudia kuvaa nguo chafu.

Kushindwa kufanya usafi mazingira yako.

Kukombeleza mafuta kwenye makopo.

Kuanza kujifichaficha ili watu wasikuone.

Kunywa balimi au safari wakati kinywaji chako ilikuwa Heineken au Windoheck.

Kuanza kuuza uza baadhi ya vitu vyako...

Kuachana na pisi kali kali.

Kutafuta vifurushi vya bei nafuu.

Kushindwa kulipa kodi unapoishi.

Wale washikaji zako na mademu kuacha kukupigia simu.

Kuhamia sehemu ambapo kodi ni nafuu.

Kupungua mwili/Kukonda.


Wengine tuandike uhalisia wa maisha yetu....
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Mkuu watu wanachukulia utani wakati ni vitu vinatokea kila siku

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom