Dalili zinazoashiria kuwa umeanza kupigika kimaisha

Dalili zinazoashiria kuwa umeanza kupigika kimaisha

kuiona elfu kumi ni kubwa wewe kama milioni,ukianza kuona mtu hatumi mtu kitu dukani anaenda mwenyewe infact maisha ni up and down watu hupitia hali hizi na huzishinda NATHUBUTU KUSEMA UKWELI WATU WAMEBADILIKA SANA NA ROHO ZIMEKUWA MBAYA SANA HIKI KIZAZI CHA 78 TO 90 SIELEWI KWANINI KIMEKUWA NA UKATILI FULANI WIVU MISLEADINGS MAKEKE YASIYO NA MSINGI ALIMRADI TABU TU
 
Na lazima kama unaishi geto usiku unapika mchele nusu ili uutumie na asubui [emoji23][emoji23]
 
Sasa kwanini uweke ndani sabuni ya kuogea ?? Nawaza tu
 
Sio kweli. Mambo mengine yanaendana na umri na sio kipato.
1. Kupiga miayo mpaka machozi yanatoka
2. Kila umuonae unahisi ana matumizu mabaya ya hela
3. Kuwa mtu wa lawama muda wote
4. Kuanza kutamani mawe au matofali unayoyapita mtaani kuwa mkate
5. Kujikakamua wakati wa game ili usifel na kitandani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu iyo point ya pili Daaah
 
Kuangalia taarifa ya habari hadi utabiri wa hali hewa
Kuskiliza matangazo ya vifo ili uskie jina lako limetangazwa umekufa!
Kula samaki na kutafuna mifupa yote.
n

Ni hayo tuu bwashee
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
1. Kuweka tupost twa dini kama " bwana ndiyo taa yangu" nk
2. Kula mkate na chai usiku.
3.kudai sana madeni.
4.kuvaa shati kubwa
5.kuangalia bongo movie au movie za kutafsiriwa.
6.kupanda bodaboda huku umekumbatia mzigo.
 
1. Kuweka tupost twa dini kama " bwana ndiyo taa yangu" nk
2. Kula mkate na chai usiku.
3.kudai sana madeni.
4.kuvaa shati kubwa
5.kuangalia bongo movie au movie za kutafsiriwa.
6.kupanda bodaboda huku umekumbatia mzigo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
1. Kuweka tupost twa dini kama " bwana ndiyo taa yangu" nk
2. Kula mkate na chai usiku.
3.kudai sana madeni.
4.kuvaa shati kubwa
5.kuangalia bongo movie au movie za kutafsiriwa.
6.kupanda bodaboda huku umekumbatia mzigo.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
1. Kupiga miayo mpaka machozi yanatoka
2. Kila umuonae unahisi ana matumizu mabaya ya hela
3. Kuwa mtu wa lawama muda wote
4. Kuanza kutamani mawe au matofali unayoyapita mtaani kuwa mkate
5. Kujikakamua wakati wa game ili usifel na kitandani
JF kuna visa si vya karne hii
 
Kuangalia taarifa ya habari hadi utabiri wa hali hewa
Kuskiliza matangazo ya vifo ili uskie jina lako limetangazwa umekufa!
Kula samaki na kutafuna mifupa yote.
n

Ni hayo tuu bwashee
watu mmepinda ...!! Kha Ha ha aaa!
 
Back
Top Bottom