Mkuu kwani bafu na sabuni havikai sehemu moja[emoji848]Hii ya kusahau sabuni alinihusu sana miaaka hiyo, nilikuwa naoga bila sabuni
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani bafu na sabuni havikai sehemu moja[emoji848]Hii ya kusahau sabuni alinihusu sana miaaka hiyo, nilikuwa naoga bila sabuni
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Acha ujinga uende mbinguni fala wewe4. Kushabikia Yanga
Sio kweli. Mambo mengine yanaendana na umri na sio kipato.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu iyo point ya pili Daaah1. Kupiga miayo mpaka machozi yanatoka
2. Kila umuonae unahisi ana matumizu mabaya ya hela
3. Kuwa mtu wa lawama muda wote
4. Kuanza kutamani mawe au matofali unayoyapita mtaani kuwa mkate
5. Kujikakamua wakati wa game ili usifel na kitandani
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuangalia taarifa ya habari hadi utabiri wa hali hewa
Kuskiliza matangazo ya vifo ili uskie jina lako limetangazwa umekufa!
Kula samaki na kutafuna mifupa yote.
n
Ni hayo tuu bwashee
Vipi umejiona wewe kabisa nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu iyo point ya pili Daaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]1. Kuweka tupost twa dini kama " bwana ndiyo taa yangu" nk
2. Kula mkate na chai usiku.
3.kudai sana madeni.
4.kuvaa shati kubwa
5.kuangalia bongo movie au movie za kutafsiriwa.
6.kupanda bodaboda huku umekumbatia mzigo.
1. Kuweka tupost twa dini kama " bwana ndiyo taa yangu" nk
2. Kula mkate na chai usiku.
3.kudai sana madeni.
4.kuvaa shati kubwa
5.kuangalia bongo movie au movie za kutafsiriwa.
6.kupanda bodaboda huku umekumbatia mzigo.
JF kuna visa si vya karne hii1. Kupiga miayo mpaka machozi yanatoka
2. Kila umuonae unahisi ana matumizu mabaya ya hela
3. Kuwa mtu wa lawama muda wote
4. Kuanza kutamani mawe au matofali unayoyapita mtaani kuwa mkate
5. Kujikakamua wakati wa game ili usifel na kitandani
watu mmepinda ...!! Kha Ha ha aaa!Kuangalia taarifa ya habari hadi utabiri wa hali hewa
Kuskiliza matangazo ya vifo ili uskie jina lako limetangazwa umekufa!
Kula samaki na kutafuna mifupa yote.
n
Ni hayo tuu bwashee
Kukumbuka wadeni wako wote...!Kupenda kuita wenye hela viongozi.
Utasikia niaje kiaongozi?