Dalili zinazoashiria kuwa umeanza kupigika kimaisha

Dalili zinazoashiria kuwa umeanza kupigika kimaisha

Kushindwa kulipa bili za umeme na maji unapoishi..

Kurudia kuvaa nguo chafu.

Kushindwa kufanya usafi mazingira yako.

Kukombeleza mafuta kwenye makopo.

Kuanza kujifichaficha ili watu wasikuone.

Kunywa balimi au safari wakati kinywaji chako ilikuwa Heineken au Windoheck.

Kuanza kuuza uza baadhi ya vitu vyako...

Kuachana na pisi kali kali.

Kutafuta vifurushi vya bei nafuu.

Kushindwa kulipa kodi unapoishi.

Wale washikaji zako na mademu kuacha kukupigia simu.

Kuhamia sehemu ambapo kodi ni nafuu.

Kupungua mwili/Kukonda.


Wengine tuandike uhalisia wa maisha yetu....
Kwa hiyo bro umeamua ujimalize mwenyewe sio?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kulala bila ya kuoga
Kutopenda kufua nguo
Kutembea umbali mrefu na viatu kuwa na vumbi
Kunuka mdomo
Kuvaa shati moja au suruali moja kwa siku 3 mfulululizo
Kuvaa kanda mbili ukiwa barabarani
 
Kushindwa kulipa bili za umeme na maji unapoishi..

Kurudia kuvaa nguo chafu.

Kushindwa kufanya usafi mazingira yako.

Kukombeleza mafuta kwenye makopo.

Kuanza kujifichaficha ili watu wasikuone.

Kunywa balimi au safari wakati kinywaji chako ilikuwa Heineken au Windoheck.

Kuanza kuuza uza baadhi ya vitu vyako...

Kuachana na pisi kali kali.

Kutafuta vifurushi vya bei nafuu.

Kushindwa kulipa kodi unapoishi.

Wale washikaji zako na mademu kuacha kukupigia simu.

Kuhamia sehemu ambapo kodi ni nafuu.

Kupungua mwili/Kukonda.


Wengine tuandike uhalisia wa maisha yetu....
😂😂😂
 
Kuangalia taarifa ya habari hadi utabiri wa hali hewa
Kuskiliza matangazo ya vifo ili uskie jina lako limetangazwa umekufa!
Kula samaki na kutafuna mifupa yote.
n

Ni hayo tuu bwashee
Hahahaahaaaaa daaaaah [emoji28][emoji28]
 
Kuangalia taarifa ya habari hadi utabiri wa hali hewa
Kuskiliza matangazo ya vifo ili uskie jina lako limetangazwa umekufa!
Kula samaki na kutafuna mifupa yote.
n

Ni hayo tuu bwashee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hiyo namba 6 sidhani, me weekend uwa nachenji sarafu za kutosha week nzima. Ile asubuhi uwa napenda nimpe konda mia nne yake cash tusisumbuane.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom