Dalili zinazoashiria kuwa umeanza kupigika kimaisha

Kwa hiyo bro umeamua ujimalize mwenyewe sio?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kulala bila ya kuoga
Kutopenda kufua nguo
Kutembea umbali mrefu na viatu kuwa na vumbi
Kunuka mdomo
Kuvaa shati moja au suruali moja kwa siku 3 mfulululizo
Kuvaa kanda mbili ukiwa barabarani
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuangalia taarifa ya habari hadi utabiri wa hali hewa
Kuskiliza matangazo ya vifo ili uskie jina lako limetangazwa umekufa!
Kula samaki na kutafuna mifupa yote.
n

Ni hayo tuu bwashee
Hahahaahaaaaa daaaaah [emoji28][emoji28]
 
Kuangalia taarifa ya habari hadi utabiri wa hali hewa
Kuskiliza matangazo ya vifo ili uskie jina lako limetangazwa umekufa!
Kula samaki na kutafuna mifupa yote.
n

Ni hayo tuu bwashee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuangalia gari na anayeliendesha usoni halafu unamaliza kusoma plate namba.
 
Hiyo namba 6 sidhani, me weekend uwa nachenji sarafu za kutosha week nzima. Ile asubuhi uwa napenda nimpe konda mia nne yake cash tusisumbuane.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Any way LUCKDUBE Billie mmenofanya nicheke sn kwa hii thread
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wacha tusake mapene
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…