Dalili zinazoonesha umepungukiwa nguvu za kiume

Dalili zinazoonesha umepungukiwa nguvu za kiume

Hakuna kitu kama hiko, ulikuwa unapiga punyeto kiasi gani mpaka useme it's dangerous..!? Coz unaulizwa na mpigaji maarufu although nimestaafu kidogo [emoji23]

[emoji28]

Mi nimeanza ku Piga 2005 pindi nimemaliza mtihan wa mwisho wa form four nikaanza till now lkn Balaa nlilonalo mmh
 
[emoji28]

Mi nimeanza ku Piga 2005 pindi nimemaliza mtihan wa mwisho wa form four nikaanza till now lkn Balaa nlilonalo mmh
Psychology tu mkuu, mimi nimeanza shule ya msingi n mpk sasa nikitaka napiga na shemeji yako namuwashia moto vizuri tu....
 
Hivi kama mtu anaweza kufanya mapenzi kwa zaidi ya nusu saa au saa nzima bila kumwaga cha kwanza. Huyu anakuwa na shida gani??

NB: hatumii dawa zozote za kuongeza nguvu
 
kwenye hili suala la nguvu za kiume tunadanganyana sana

wanaume ili ufanye lile tendo kikamilifu akili inatakiwa kuwa imetulia sana, kuna factors nyingi sana huathiri hamu ya tendo
mfano:
[emoji117]msongo wa mawazo
[emoji117]Hofu
[emoji117]mwanamke kukosa mvuto kwa sababu za usafi ama umekutana na pango
[emoji117]mwanamke kutoshirikiana na mwanaume wakati wa tendo
[emoji117]kumzoea mwanamke

Kuna wakati unapata mwanamke aliyekidhi vigezo vyako ukajikuta unapiga shoo moja matata mpaka ww mwenyewe unashangaa.

ama unapata mtoto anashughulika ukajikuta unapga round za kutosha bila kusubiri ureload kwanza

As long as unaamka asubuhi mrana unasoma H+, achana na porojo za kitaa.....kula vizuri, fanya mazoezi na utafute pesa tuu.....wanawake hawaridhiki!
 
Hivi kama mtu anaweza kufanya mapenzi kwa zaidi ya nusu saa au saa nzima bila kumwaga cha kwanza. Huyu anakuwa na shida gani??

NB: hatumii dawa zozote za kuongeza nguvu

Huyo ni mwanaume uyo ni mie kabisa
 
Back
Top Bottom