Uchaguzi 2020 Dalili zote zinaonesha anga limeikataa CCM

Uchaguzi 2020 Dalili zote zinaonesha anga limeikataa CCM

Haya ndio matokeo ya kufanya research kupitia coment za hapa jf na kwenye magroup ya chadema!

Tz ni kubwa jamani hawa walioko huku mitandaoni ni tone tu!

Kingine nmeona kwenye post za BBC kule facebook kuhusu Lisu, coment za raia wengi wa kule upepo haupo kwa Lisu kabisa.
Dada unaonekana umepanic sana!

Namba zimeikataa CCM! Kama huamini suburi utajionea.
 
Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!

Kuelekea October 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania...
Ccm itashinda kwa kura nyingi zaidi ya uchaguzi wa 2015
 
Dada unaonekana umepanic sana!

Namba zimeikataa CCM! Kama huamini suburi utajionea.
Sasa mbona we ndio umepanic kwa kumuita mtu usiemjua dada?

Nenda facebook kwenye page za BBC na VOA uone maoni ya raia kuhusu Lisu! Na wale ndio wapiga kura!

Au wewe unategemea maoni mnayopeana huko kwenye magroup yenu ya chadema?

Kura za kumuwezesha Lisu ziko huku field ambako Lisu hana ushawishi wowote.
 
Wapiga kura hata huku Namtumbo wapo na bado wana hasira na soko la korosho.
Bado sana kuelewa hii game ninyi!

Alafu vipi kile kilio chenu cha tume huru naona mmeshapata uvumbuzi kupitia Lisu?
 
Sasa mbona we ndio umepanic kwa kumuita mtu usiemjua dada?

Nenda facebook kwenye page za BBC na VOA uone maoni ya raia kuhusu Lisu! Na wale ndio wapiga kura!

Au wewe unategemea maoni mnayopeana huko kwenye magroup yenu ya chadema?

Kura za kumuwezesha Lisu ziko huku field ambako Lisu hana ushawishi wowote.
We dada shida yako una mihemko ya dhiki na chuki dhidi ya CDM

Ila mwambieni huyo kamongo mwaka huu anarudi Chato kulima furu
 
Huyo dogo anajifariji tu hapo Lumumba
Ndio ujinga wenu kuhisi kila mtu yuko Lumumba!

Ni kwambie tu, wakati kama huu 2015 Lowasa alikuwa ameshazunguka nchi nzima na ana ufuasi wa kutishwa,
Kwenye kampeni kazi yake ilikuwa n8 kukusanya tu mafuriko na wafuasi wake kuzungushwa mikono na kudekishwa barabara.

Haya niambie Lisu ana nini mpaka sasa hivi zaidi ya ushawishi kwa kundi dogo sana pale chadema?
 
We dada shida yako una mihemko ya dhiki na chuki dhidi ya CDM

Ila mwambieni huyo kamongo mwaka huu anarudi Chato kulima furu
Hahahah... Ikifika oktoba uangalie vizuri pichu hiyo usije ukaivaa kichwani maana hutaamini unachokisikia kwamba huyo Lisu wako hata 20% ya kura hajapata
 
Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!

Kuelekea October 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.

Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea October 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.

CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!

Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mfuko wa Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku akisal ( 424 X 640 ).jpg
 
Hahahah... Ikifika oktoba uangalie vizuri pichu hiyo usije ukaivaa kichwani maana hutaamini unachokisikia kwamba huyo Lisu wako hata 20% ya kura hajapata
Mwambie Jiwe ajiandae kurudi chato au akimbie nchi.
 
Mbona uku mtaani CCM ipo shwari tu.au mtoa mada amelala usingizi mzito unaota!?.
 
Pengine unabii wa Mene, Mene, Tekeli & Peresi u mbioni kutimia. Huku neno Peresi likiwakilisha vyama vya CDM na ACT Wazalendo ili neno hili la kinabii likafikie ukamilifu wake wote.
 
Tatizo unafananisha urais na uenyekiti wa chadema!

Haya niakuache uendelee kujifariji
Shida hujui kiwa maisha ni namba na namba zimeikataa CCM!

Historia inakwenda kubadilika october 28 nukuu kauli yangu.
 
Back
Top Bottom