Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Mturuki bado ana hangover ya ottoman empire!Edorgan leo anaipiga mkwara Iran na Russia? Kweli nimeamini middle East ni wehu.
Ngoma ya wakubwa bado haiwezi, yaani ile kutunushiana misuli na wakubwa bado, ataumia tu!
Vita ya nyuma hapo Syria wanajeshi wake wengi waliuliwa na mavifaru yake kulipuliwa.