kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Duh 🏃 🏃 🏃View attachment 3169751
Askari wa Serkali ya Assad wanaacha Silaha nzito nzito kama zawadi kwa Waasi kama hii ilyotekwa huko Hama😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh 🏃 🏃 🏃View attachment 3169751
Askari wa Serkali ya Assad wanaacha Silaha nzito nzito kama zawadi kwa Waasi kama hii ilyotekwa huko Hama😁
Tatizo la hao rebels IDF wanaweza kuwa wanawasaidia ila wakifanikiwa kumtoa Assad watamgeuka mu IsraelSafari hii hadi Shia Millitias wanapigwa usiku na Ndege za IDF asubuhi waasi wanamalizia kazi kipigo ni kizito😂
Ww mbona Ukraine akipigwaga huwa unaumia wakati ww ni mmatumbi?Nimefuatilia comments zako nyingi inaonekana hii offensive ya waasi imekutouch sana aisee! Sometimes unajaribu kuleta habari za kujifariji hata za kupotosha lakini mwisho wa siku mambo kwa ground ndio hivo
Kwa nini umeumia hivi mkuu!?
Huo muda hawatakuwa nao kwasababu wataanza kupigana wao kwa wao kwa muda mrefu, ndani ya hilo kundi la Waasi kuna wengine hawaelewani kuhusu misimamo.Tatizo la hao rebels IDF wanaweza kuwa wanawasaidia ila wakifanikiwa kumtoa Assad watamgeuka mu Israel
Kwani akina Ritz na yule bibi kule zenji wako wapiHabari za hivi punde zinadai,Wapiganaji wa HTS ambao wanasadikika kuungwa mkono na nchi ya Uturuki, wameuzingira mji wa nne kwa ukubwa nchini Syria wa HAMA kusini Magharibi mwa nchi hiyo. Mji huo upo umbali wa Kilometa 210 kutoka mji mkuu wa Syria wa Damascus.
Ikumbukwe kuwa, Wiki iliyopita, Waasi hao walifanya mashambulizi ya kushitukiza na kuuteka mji wa pili kwa ukubwa nchini Syria wa Aleppo.
Jeshi la anga la Syria (SAA) likisaidiwa na ndege za kivita za Urusi zilishambulia mji wa IDLIB ambao ulikuwa ngome kuu ya wapiganaji hao tangu mwaka 2015. Hata hivyo, Mashambulizi hayo yanaonesha kutowarudisha nyuma waasi hao.
Endapo mji wa HAMA utadhibitiwa na waasi hao,Basi watakuwa umbali wa Kilometa 78 kutoka mji wa tatu kwa ukubwa nchini Syria wa HOMS na umbali wa Kilometa 210 kutoka mji mkuu wa Syria wa DAMASCUS.
Hata hivyo,Waziri wa Mambo ya nje wa Iran ameilaani Marekani na Israel kwa kushambulia msafara wa Wapiganaji kutoka Iraq waliokuwa wanakwenda kuisaidia jeshi la Syria kupigana vita vya Ardhini na waasi hao.
Uturuki imeitaarifu Urusi kuacha kutumia ndege zake kuwashambulia Raia lasivyo Uturuki itapeleka Mifumo ya Ulinzi wa Anga Kasikazini mwa Syria ili Kuziangusha ndege za Urusi na Syria ambazo zinafanya mashambulizi hayo.
Source: Aljazeera
: Dw English
BREAKING NEWS
Waasi wa HTS wameuteka mji wa nne kwa ukubwa nchini Syria wa HAMA. Jeshi la Syria limesema limeondoa wanajeshi wake 12,000 waliokuwa wamejidhatiti kuulinda mji huo. Hata hivyo,jeshi hilo limesema kwamba limejiondoa ili kuepusha vifo vya raia, kwa mapigano ya mjini ambayo yangelitokea( URBAN FIGHTING).
Msemaji wa jeshi la Israe,Daniel Hagar amesema kwamba bado wanafuatilia kwa ukaribu mapigano hayo na mienendo ya waasi hao. Hata hivyo amesema pia,Endapo waasi wataukamata mji mkuu wa DAMASCUS basi Israel itapeleka vikosi vyake katika Milima ya Golan kulinda Ardhi na uhuru wa Israel.
View: https://youtu.be/PGpRPWg6cW8?si=tirR3OBK22z-ZiRq
Kwanza Malaria2 ndio kaingia mitini kabisa bora hata Bwana Utam😂😆😁Akina Malaria 2 Bwana Utam wanasemaje
Kumbe anayepigwa hapo Syria ni Putin 🤩😍Ww mbona Ukraine akipigwaga huwa unaumia wakati ww ni mmatumbi?
Israel wanahangaika na Hizbollah na Hamas hukoHujasikia Ndege za US na Israel zinapiga usiku?
Mm nilicho taka kukuambia ni heshimu hisia za watu wengine ,kama ww ulivyo na haki ya kuumia Ukraine ikibondwa,na yeye ana haki ya kuumia Asad akibondwa.Kumbe anayepigwa hapo Syria ni Putin 🤩😍
🏃🏃🏃
KiEdorgan leo anaipiga mkwara Iran na Russia? Kweli nimeamini middle East ni wehu.