Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Tatizo la hao rebels IDF wanaweza kuwa wanawasaidia ila wakifanikiwa kumtoa Assad watamgeuka mu Israel
Israel huwa ina solutions, alternative solutions na "bahati" za kutosha zilizopangwa.

Hamas wamekurupuka kuua mamia ya Wayahudi, Israel inawadhibiti na kuingia Gaza kusafisha. Hezbollah wanaanzisha mashambulizi, Israel inawashambulia taratibu haiendi kwa fujo. Baadae inaonekana Iran inatishia sana itasaidiana na haya makundi mawili, Rais wa Iran anakufa kwa ajali "bahati mbaya".

Hamas inapigwa inaelekea ukingoni, Hezbollah inaanzishiwa lakini Iran wala haiisaidii maana Rais mkorofi hayupo tena. Hezbollah inapigwa inaanzisha mazungumzo ya amani hapohapo Syria ambapo inapitisha silaha waasi wanaanzisha mapigano.

Hivyo waasi hawa wakiiletea changamoto Israel, bado solutions za kutosha zipo mikononi mwa Israel. Ndio maana measure ya kwanza ni kupeleka majeshi Golan heights mpakani na Syria.

Kwenye mlinganyo huwezi ona msaada wa Israel kwa hao waasi ila Israel yenyewe inafanya vitu kwa hesabu inaenda mbele inarudi nyuma. Sasa hawa wakurupukaji wanashangilia tukio moja kumbe yenyewe iko na strategic responses.

Yani Israel inaweza ona inashambulia magaidi huku inalaumiwa na dunia, ikaomba mazungumzo yakafanyika huku ikijua wakurupukaji wataishambulia tena. Ikakaaa ikaandaa vifungu vya kuiruhusu kushambulia ikichokozwa, ikatulia kama mnyonge ikakusanya ushahidi na vithibitisho kuwa inavunjiwa amani. Alafu ikashambulia vikali kwa kisingizio sisi hatuna fujo tunajitetea tu.
 
Hujui dunia inavyojiendesha mkuu we tulia. Jiulize kwanini marekani na Israel imeshambulia makundi ya washia waliotoka Iraq waliokuwa wanavuka mpaka kwenda kumsaidia Assad. Na wamerud nyuma.

Na uturuki kapiga mkwara kwa
Urusi aache kupiga mabomu ule
Idibli anaua raia la sivyo atatungua ndege zake..

Hii vita iran ameingizw kwenyw mfumo
Akajaa.. maana kila anachojaribu anakuta wenzie wako hatu 2 mbele..

Navyojua approch ya Assad atakachokifanya ni kurudisha jeshi nyuma aanze kushusha mabomu.. kwenye miji iliochukuliwa ..

Atapiga mabom ya kutosha
 
Sasa time jehova mix na upinde imeamia kwa ISIS lengo lenu kuu njia ikatwe apate kupumua muIsrael iyo njia ya Uzima wa milele akuna wakuikata tupo apa wacha mbungi iyendelee dkk90 sasa ndio kwanza dkk40 mtapotea umu tunawajua leo mpo speed sana safi msikimbie tu uko mbele.!!
 
🇱🇧 Sheikh Naim Qassem:

- We will provide those whose primary residence was completely demolished $14,000 annually if they live in Beirut and $12,000 for other areas in order to pay rent and furnish their temporary residence until their homes are rebuilt. We do not want anyone to remain in schools or shelters

(Note: This is a good amount of funds in Lebanon).
 
Israel huwa ina solutions, alternative solutions na "bahati" za kutosha zilizopangwa.

Hamas wamekurupuka kuua mamia ya Wayahudi, Israel inawadhibiti na kuingia Gaza kusafisha. Hezbollah wanaanzisha mashambulizi, Israel inawashambulia taratibu haiendi kwa fujo. Baadae inaonekana Iran inatishia sana itasaidiana na haya makundi mawili, Rais wa Iran anakufa kwa ajali "bahati mbaya".

Hamas inapigwa inaelekea ukingoni, Hezbollah inaanzishiwa lakini Iran wala haiisaidii maana Rais mkorofi hayupo tena. Hezbollah inapigwa inaanzisha mazungumzo ya amani hapohapo Syria ambapo inapitisha silaha waasi wanaanzisha mapigano.

Hivyo waasi hawa wakiiletea changamoto Israel, bado solutions za kutosha zipo mikononi mwa Israel. Ndio maana measure ya kwanza ni kupeleka majeshi Golan heights mpakani na Syria.

Kwenye mlinganyo huwezi ona msaada wa Israel kwa hao waasi ila Israel yenyewe inafanya vitu kwa hesabu inaenda mbele inarudi nyuma. Sasa hawa wakurupukaji wanashangilia tukio moja kumbe yenyewe iko na strategic responses.

Yani Israel inaweza ona inashambulia magaidi huku inalaumiwa na dunia, ikaomba mazungumzo yakafanyika huku ikijua wakurupukaji wataishambulia tena. Ikakaaa ikaandaa vifungu vya kuiruhusu kushambulia ikichokozwa, ikatulia kama mnyonge ikakusanya ushahidi na vithibitisho kuwa inavunjiwa amani. Alafu ikashambulia vikali kwa kisingizio sisi hatuna fujo tunajitetea tu.
Mbona unatapanya mambo hao walowezi wataishi Kwa heka heka maisha huku Iran akila shisha bila kusikia ving'ola kwake Irani hataki wapiganie kwake mhanga ni Syria na Israel vita viko katka ardhi zake katka hili japo Iran ataingia kusaidia hezb tayari wako mpakani restance ya Iraq nao tayari wameshasogea. Israeli hakuna anachoweza kamfanya Iran yeye na bashaake US. Hii ni Kama draft au chess kila mtu atakula na kuliwa kipndi game inachezwa, mwisho mashindi lazima apatikane
 
Habari za hivi punde zinadai,Wapiganaji wa HTS ambao wanasadikika kuungwa mkono na nchi ya Uturuki, wameuzingira mji wa nne kwa ukubwa nchini Syria wa HAMA kusini Magharibi mwa nchi hiyo. Mji huo upo umbali wa Kilometa 210 kutoka mji mkuu wa Syria wa Damascus.

Ikumbukwe kuwa, Wiki iliyopita, Waasi hao walifanya mashambulizi ya kushitukiza na kuuteka mji wa pili kwa ukubwa nchini Syria wa Aleppo.

Jeshi la anga la Syria (SAA) likisaidiwa na ndege za kivita za Urusi zilishambulia mji wa IDLIB ambao ulikuwa ngome kuu ya wapiganaji hao tangu mwaka 2015. Hata hivyo, Mashambulizi hayo yanaonesha kutowarudisha nyuma waasi hao.

Endapo mji wa HAMA utadhibitiwa na waasi hao,Basi watakuwa umbali wa Kilometa 78 kutoka mji wa tatu kwa ukubwa nchini Syria wa HOMS na umbali wa Kilometa 210 kutoka mji mkuu wa Syria wa DAMASCUS.

Hata hivyo,Waziri wa Mambo ya nje wa Iran ameilaani Marekani na Israel kwa kushambulia msafara wa Wapiganaji kutoka Iraq waliokuwa wanakwenda kuisaidia jeshi la Syria kupigana vita vya Ardhini na waasi hao.

Uturuki imeitaarifu Urusi kuacha kutumia ndege zake kuwashambulia Raia lasivyo Uturuki itapeleka Mifumo ya Ulinzi wa Anga Kasikazini mwa Syria ili Kuziangusha ndege za Urusi na Syria ambazo zinafanya mashambulizi hayo.

Source: Aljazeera
: Dw English
Assad ana Hali mbaya kweli kweli, Hezbollah na Putin wameshindwa kumlinda Assad ?

T14 Armata
 
Habari za hivi punde zinadai,Wapiganaji wa HTS ambao wanasadikika kuungwa mkono na nchi ya Uturuki, wameuzingira mji wa nne kwa ukubwa nchini Syria wa HAMA kusini Magharibi mwa nchi hiyo. Mji huo upo umbali wa Kilometa 210 kutoka mji mkuu wa Syria wa Damascus.

Ikumbukwe kuwa, Wiki iliyopita, Waasi hao walifanya mashambulizi ya kushitukiza na kuuteka mji wa pili kwa ukubwa nchini Syria wa Aleppo.

Jeshi la anga la Syria (SAA) likisaidiwa na ndege za kivita za Urusi zilishambulia mji wa IDLIB ambao ulikuwa ngome kuu ya wapiganaji hao tangu mwaka 2015. Hata hivyo, Mashambulizi hayo yanaonesha kutowarudisha nyuma waasi hao.

Endapo mji wa HAMA utadhibitiwa na waasi hao,Basi watakuwa umbali wa Kilometa 78 kutoka mji wa tatu kwa ukubwa nchini Syria wa HOMS na umbali wa Kilometa 210 kutoka mji mkuu wa Syria wa DAMASCUS.

Hata hivyo,Waziri wa Mambo ya nje wa Iran ameilaani Marekani na Israel kwa kushambulia msafara wa Wapiganaji kutoka Iraq waliokuwa wanakwenda kuisaidia jeshi la Syria kupigana vita vya Ardhini na waasi hao.

Uturuki imeitaarifu Urusi kuacha kutumia ndege zake kuwashambulia Raia lasivyo Uturuki itapeleka Mifumo ya Ulinzi wa Anga Kasikazini mwa Syria ili Kuziangusha ndege za Urusi na Syria ambazo zinafanya mashambulizi hayo.

Source: Aljazeera
: Dw English
Uturuki inaijambia Russia, haha ama kweli Ukraine imemvua nguo Putin sasa haogopwi tena
 
Katika hi vita usitegemee aljazeera kama chanzo chaku kikuu kukupa taarifa kwasbb iko pro-waasi wa kisunni nikama BBC kwa vita ya Ukurain na Russia.
Serikali ya Sytia ina firing power ya ndege kutoka Russia na Iran sio rahisi kuteka mji na kuutawala wakati ndege zinarusha mabomu.
Assad hana jeshi imara la kushikilia mji.
 
Na uturuki kapiga mkwara kwa
Urusi aache kupiga mabomu ule
Idibli anaua raia la sivyo atatungua ndege zake..

Hii vita iran ameingizw kwenyw mfumo
Akajaa.. maana kila anachojaribu anakuta wenzie wako hatu 2 mbele..

Navyojua approch ya Assad atakachokifanya ni kurudisha jeshi nyuma aanze kushusha mabomu.. kwenye miji iliochukuliwa ..

Atapiga mabom ya kutosha
Ya kwamba Uturuki adungue ndege za Urusi ?
Hawezi thubutu huo ujinga.
 
Back
Top Bottom