Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 2,109
- 5,284
DuhKuna Waasi wengine wanaongea Lugha ya Kiukraine sijui wamejifunza wapi?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhKuna Waasi wengine wanaongea Lugha ya Kiukraine sijui wamejifunza wapi?!
Hana hamu naye kivipi?Urusi ipo hoi haina hamu na Assad
Jeshi la Syria limepatwa na nini?...limesambaratika ?Mkutano wa Mashia umefanyika Leo Baghdad wamekubaliana kutuma msaada kwa Bashar Al Assad lakini Marekani inawapiga Mikwara 🤭
Hezbollah,Iran na Urusi zilizokuwa nguzo za Assad zote zina matatizo ya kuyakabili hamna mwenye hamu na Assad.Hana hamu naye kivipi?
Hili ni shambulizi la kushutukiza ni lazima itachukua muda kulidhibiti , kiufupi jeshi la Syria lilikuwa limesha lilax kwa sababu kulikuwa na kila dalili ya vita kuisha kutokana na makubaliano ya Astana Kazakhstan yaliyo sainiwa na Urusi Uturuki na Iran,sasa Uturuki kawazunguka wenzake.
Fujo au jihad?Waasi wanao endesha mashambulizi mmiliki wake ni Uturuki sio Israel .
Kwa lipi?Uturuki ina ubavu wa kumvumbia Urusi kwa sasa
Iran, sijui Al jazeera, Assad, Ayatola, Uturuki, Tahariri ya shama, Hawa wote ni wahuni tu wanatumia mgongo wa dini kupigania maslahi binafsi.Sema hivi sisi waislamu na wakristo wa huku buza tukae upande wa nani, sorry Kwa kuuliz lakini
Uturuki is a so poweful country, Urusi angevamia uturuki sasa hivi Putin mbio zingemuokoa.Kwa lipi?
Bw. Proved jawabu lako hili hapa!Hana hamu naye kivipi?
Hili ni shambulizi la kushutukiza ni lazima itachukua muda kulidhibiti , kiufupi jeshi la Syria lilikuwa limesha lilax kwa sababu kulikuwa na kila dalili ya vita kuisha kutokana na makubaliano ya Astana Kazakhstan yaliyo sainiwa na Urusi Uturuki na Iran,sasa Uturuki kawazunguka wenzake.
Uturuki ni mwanachama wa NATO hilo ni hakikisho la usalama la kudumu.Kwa lipi?
Wameshindwa jeHao IRGC wameshindwa kabisa kuwazuia waasi wa HTS.
Waasi wanazidi kuteka maeneoWameshindwa je
Inasemekana kuna fedha nyingi imepenyezwa kwa Makamanda wa Jeshi la Syria Arab Army hadi Wanajeshi wa Russia wanaowasaidia wamekasirishwa na Low Moral ya Syria Arab Army.Jeshi la Syria limepatwa na nini?...limesambaratika ?
Endelea kujiliwazaOctober 7 was strategic mistake for Iran
Kuliko walivyoteka mwaka 2011 sijui 15Waasi wanazidi kuteka maeneo
Kwani lgbtq mko upande upiUrusi na Iran wameshindwa? Halafu makobaz yako upande upi kwenye hili, maana hawa waasi wanaungwa mikono na Uturuki.
Tunasema Syria taifa teuleAkina Malaria 2 Bwana Utam wanasemaje
Yeah!....kwa Sasa wanateka kilaini bila upinzani wowoteKuliko walivyoteka mwaka 2011 sijui 15
Nadhani kuna wengine walipelkwa Ukraine kujifunza Drone Technology.
Azuie wapi?Uturuki ni mwanachama wa NATO hilo ni hakikisho la usalama la kudumu.
Uturuki ina uwezo wa kuzuia hiki kinachofanywa na waasi hapo Syria ikitaka, ila haitofanya hivyo Ili kuendelea kuwaweka Urusi, Iran na Assad kwenye shinikizo.