gTurn
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 2,651
- 4,151
Unawajua vizuri hao waasi wanayoitaka Syria? Nenda kawasome objectives zao kwanza usikurupuke wote wako nchini ya mmarekani na Israel na mturuki. Hao ndio IS wanaosumbua mpaka Huku Africa wanachinja kupitia shingo very dangerous Lebanon itapitia wakati mgumu chini Hawa waasi pia Iraq na Iran wajiandae kuvamiwa Kama Hawa jamaa wataikamata Syria hivyo huwezi kumwambia Iran akae pembeni dhidi ya Hawa jamaa neverIran, sijui Al jazeera, Assad, Ayatola, Uturuki, Tahariri ya shama, Hawa wote ni wahuni tu wanatumia mgongo wa dini kupigania maslahi binafsi.
Jiulize Utawala wa kiislamu wa Iran unamuunga mkono Assad mwenye utawala wa kisecular, halafu unawapinga waasi wanaotaka kuanzisha utawala wa kiislamu!
Huu si ni uhuni tu.
Halafu akina Ritz wanatokwa povu kila siku kushabikia ujinga.