Sasa wewe unapinga kama nani wakati wao wamekubaliana kugawana Keki?!Huo ni uongo.
Hao waasi wa kisuni wanadhaminiwa na Uturuki na Uturuki na wakrudi haziivi.
Hata hizi sarakasi zote ni Uturuki kuwadhibiti wakrudi.
Hizbullah wengi walemavu wanatembelea magongo na wheelchair zile show show walizotembezewa na myahudi zinaitwa Mwana nkome zilikuwa SI haba.
View: https://x.com/OALD24/status/1865399931453800787
Yaani Netanyahau alitoa Onyo kwa Assad na Waasi wakatumia hiyo Onyo Kuanzisha counter offensive... Inawezekana walipewa details muhimu sana...
Sijaona Ubora wa Jeshi la waasi zaidi ya ubovu wa Jeshi la Assad
Hezbollah why asirushe Makombora yake Maeneo ya Waasi, au Ndio kipigo kilikuwa kikubwa sana
Damascus inaanguka mapema kabla hata ya HomsMPYA;Wakuu kundi kubwa la Waasi limetoka Mji wa Deraa linaelekea Damascus kumaliza Mchezo
Assad is Finished, so is Ayatolah's Corridor ๐๐
Wewe na grossi asikizwe naniParchin ilikuwa ni sehemu ya siri. Waebrania wakaenda kuitwanga. Wanakoendelea ni huko kwingine.
Drones za Uturuki zimepiga air defense systems za Urusi hapo Syria hadi Libya. Kama unabisha videos zipo nyingi katafute.Hapa kwa makali ya drone umetupiga kamba zile drone dhaifu sijapata ona ndio maana hata Ukraine kazikimbia
Nyie wasikilizeni Al Jazeera na Western media, mtakuja niambia wakifika Damascus labda kama ni ndoto vile.Kwi kwi kwi bado tehran
Waasi wa Kisunni ni Very Smart wakiona mahali kuna Upinzani mkali wanazungukia upande wa pili tena kwa Bodaboda ๐๐Damascus inaanguka mapema kabla hata ya Homs
Kwi kwi kwi takbiiiiirrrrrrrNyie wasikilizeni Al Jazeera na Western media, mtakuja niambia wakifika Damascus labda kama ni ndoto vile.
Baba lao iran yuko wapi? ๐คฃ๐คฃ๐คฃNafuatilia kwa ukaribu sana hizi newz haimanishi ndio nimeunga trela siungi mkono waasi kwakua wao wameungana na Western na West hawanaga ubia na waislam wao ni kuharibu hivyo Syria inaenda kuwa zaidi Libya
Hao wataishia Homs tu wanakuzwa na Western media na puppets zao warabu
View: https://x.com/OALD24/status/1865388125947580797?t=l0AFGBrRzHrjNwDj6NQ-fw&s=19
At least hapa Hezbollah wamerusha Risasi.. ila Netanyahau alishapata Taarifa ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ
Kwanini tunune wakati maisha mafupi haya
Kuna clip nimeona Wanajeshi wa Syria wanabadili combat wanavaa za kiraia ๐๐Unajua hawa wadau hawarushi hata risasi...
๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ
Ingemaliza kwanza kwa hizbullah na hamas walau tungeelewaKuna mtu aliawahi kuuliza Israel ilishindaje vita siku 6 ๐๐๐.
Sasa hili Jeshi la Assad lingekuwa linapigana na IDF lingeweza kumaliza hata siku ?
Israel ingechukua Damascus siku Moja tu
Sifa anapew mturuki sasa sio israel iliotoa silaha za hesbullah zilizokamatwa lebanon? ๐คฃHuo ni uongo.
Hao waasi wa kisuni wanadhaminiwa na Uturuki na Uturuki na wakrudi haziivi.
Hata hizi sarakasi zote ni Uturuki kuwadhibiti wakrudi.
Ngoja tuone๐ท๐บ๐ฎ๐ท๐น๐ท Russian Foreign Minister Sergey Lavrov holds a press conference following the 22nd Doha Forum:
The attacks of the terrorist organization "Hayat Tahrir al-Sham" were planned in advance and we are helping Syria confront them.
Political dialogue will be possible after stopping the attacks of the terrorist organization "Hayat Tahrir al-Sham"
Russia, Iran, Turkey agree to halt military operations, we will take steps on the ground
We oppose the attempt by Hay'at Tahrir al-Sham to change the balance on the ground and we will confront it and continue to support the Syrian government.
๐ฉ @ResistanceTrench
Asante kwa ilim ya huko mkuu. Nakuaminia sana. Umesoma na unaendelea kusoma. Ndiyo maana umeelimika mkuu. Busara yako huwa inaonekana siyo kama wengine ambao sitaki kuwataja hapa.Tangu lini elimu ya dini ya kiislamu ikapatikana kwenye internet?
Hebu nitolee mfano, elimu ipi ya uislamu inapatikana kwenye internet.
Na suala si kuleta ujuaji, bali najua kwa sababu nimesoma na ninaendelea kusoma.
Haya niletee kitabu cha houjatum mudhakkiriina cha Imam Suyutwi kwenye internet.
Mimi ni sunni, wahab tangu karne na karne wanafahamika kwenye ulimwengu wa kiislamu kwamba siyo sunni.
Unavyoona wanavyouwa watu kwa kuwachinja, walishawachinja sana sunni mpaka wakaiteka Makka.
Tuliwaambia 2025/2026 Ayatolah anatolewa Madarakani Iran na Islamic Regime yake inaondolewa na Wanawake wa Iran wataanza kuvaa Bikini.Kwanini tunune wakati maisha mafupi haya