Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Naona umeamua kupotosha mambo makusudi kupiga air defense za Russia ndio kigezo cha ubora mbona Ukraine hawazitumii tena kule kwao against Russia ila kongole pia sikujua kama ulikua unaongelea zile drone za vita ila ghafla ukaingia kwenye drones za kufanyia surveillance unaongelea nini kwani
 
Uwanja umeinama naungana na ITR Assad asipotoka mara hii hatakaa atoke tena na waasi wakimshindwa mara hii hawatakaa wamuweze tena ila mpaka sasa sijatupa taulo kwa Assad ingawaje kimsingi yupo na hali tete
Hongera sana mkuu. Umenena kuime.
 
Upande wa homs wamepata upinzani mkali sasa wameamua kuzungukia kusini.
Ngoja tuone ila kuna jambo naona halipo sawa kuna upande unatulisha propaganda ila sijajua ni upi
 
Assad baada ya kuwashinda waasi hapo awali alikuwa na nafasi nzuri ya kutafuta suluhu ya kisiasa ila alipuuza hilo....kwa Sasa ana kibarua kizito
Angeitafutaje tafutaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…