stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,724
- 2,584
Kama utani vile, ukiona Russia inawataka raia wake kuondoka Syria ujue hamna kitu tena.Damascus inaanguka mapema kabla hata ya Homs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama utani vile, ukiona Russia inawataka raia wake kuondoka Syria ujue hamna kitu tena.Damascus inaanguka mapema kabla hata ya Homs
Nasikia sasa kila wakiona Pager wanamuomba Allah isiwalipukie.😁Hizbullah wengi walemavu wanatembelea magongo na wheelchair zile show show walizotembezewa na myahudi zinaitwa Mwana nkome zilikuwa SI haba.
Naona umeamua kupotosha mambo makusudi kupiga air defense za Russia ndio kigezo cha ubora mbona Ukraine hawazitumii tena kule kwao against Russia ila kongole pia sikujua kama ulikua unaongelea zile drone za vita ila ghafla ukaingia kwenye drones za kufanyia surveillance unaongelea nini kwaniDrones za Uturuki zimepiga air defense systems za Urusi hapo Syria hadi Libya. Kama unabisha videos zipo nyingi katafute.
Uturuki ndio ilituma drone Iran kutafuta helicopter ya Raisi iliyodondoka milimani kwenye ukungu. Wairan walitafuta zaidi ya masaa 40 hamna kitu, drone ya Uturuki hata masaa mawili haikumaliza.
Haya mambo sijui yakoje jamani. Wakati mimi furaha kubwa imetawala tangu nimesikia Assad anashughulikiwa, mwingine BP juu. Jamani!!!!Mkuu kwani lini umeanza kuikana Aljazeera. Mbona u turn tena, leo hii Aljazeera unaiona kama BBC
War monitor ni pro hesbullah mwenzenu ameshindwa kuvumilia kala chumaSiku Assad akitoka ndio leteni hizo habari sa ivi ni nyimbo za kanisani. Vipi bibilia iseme kiti cha Shetani kipo kanisani hahaha, afu wanakuja mabwege eti hujaelewa sijaelewa nini na ufunua ndio inasema vile 🤣
Hongera sana mkuu. Umenena kuime.Uwanja umeinama naungana na ITR Assad asipotoka mara hii hatakaa atoke tena na waasi wakimshindwa mara hii hawatakaa wamuweze tena ila mpaka sasa sijatupa taulo kwa Assad ingawaje kimsingi yupo na hali tete
Ngoja tuone ila kuna jambo naona halipo sawa kuna upande unatulisha propaganda ila sijajua ni upiUpande wa homs wamepata upinzani mkali sasa wameamua kuzungukia kusini.
Sijawahi kua mpole wala mkali hua nipo kawaida kila muda yaaniVipi mbona umekuwa mpole au umeng'amua Bikra 72 ni kamba tu za Mashehe?🤔
Angeitafutaje tafutajeAssad baada ya kuwashinda waasi hapo awali alikuwa na nafasi nzuri ya kutafuta suluhu ya kisiasa ila alipuuza hilo....kwa Sasa ana kibarua kizito
Kupitia mazungumzo na wapinzani wakeAngeitafutaje tafutaje