GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Sio assad tena 🤣🤣🤣Inshallah angamizeni mayahud na makafiri
View: https://x.com/clashreport/status/1865411778819113407?t=RyXkRKyN-29zqI391iAKXw&s=19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio assad tena 🤣🤣🤣Inshallah angamizeni mayahud na makafiri
Asad kakimbilia Iran, Mambo yanaenda kasi sana
AdiosamigoKimenuka Damascus, anytime Waasi wa Kisunni wanatangaza ushindi.
Mimi.Wewe na grossi asikizwe nani
Naongelea drones za kijeshi za Uturuki.Naona umeamua kupotosha mambo makusudi kupiga air defense za Russia ndio kigezo cha ubora mbona Ukraine hawazitumii tena kule kwao against Russia ila kongole pia sikujua kama ulikua unaongelea zile drone za vita ila ghafla ukaingia kwenye drones za kufanyia surveillance unaongelea nini kwani
Atakuja na Aya za Quruani za kuwalaani Sunni Wazayuni na Wakristo 😆😁
Jeshi la Assad mpaka sasa halijapigana vita linashindana kutimua mbio. Very uselessKuna mtu aliwahi kusema Israel haikushinda vita siku 6.
Jeshi la Assad ndio hata masaa 6 halimalizi
Ndio kawaida yangu kuongea uhalisia wa jambo namna ninavyo lionaHongera sana mkuu. Umenena kuime.
Kuna mtu aliwahi kusema Israel haikushinda vita siku 6.
Jeshi la Assad ndio hata masaa 6 halimalizi
Unaongeaje na mtu kakushikia bundukiKupitia mazungumzo na wapinzani wake
Sawa hongeraMimi.
😃😃😃 Ni kweli kabisa nadhani hata washirika wamekatishwa tamaa na morali ndogo ya wanajeshi wa Syria.Jeshi la Assad mpaka sasa halijapigana vita linashindana kutimua mbio. Very useless