Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Kasema ameachana na Ugaidi na ametubu kwa Allah na Serikali yake itakuwa ni Inclusive Madhehebu yote ya Kiislamu Madhehebu yote ya Kikristo na Wayahudi wa Syria pia watahusishwa kwenye Serikali yake mpya.
Aah wapi!

Wafuasi wake walivyoingia mji wa wakristu wamenyofoa miti ya Xmas kama ugomvi.
 
Tuliwa waambia hapa hizbollah wametepeshwa na myahudi wakabisha. Assad hakuwa na support yoyote kwa sasa,akaunde serikali huko uhamishoni sasa. Myaudi akili nyingi yule amewatandika hapo vibaraka wa Assad kima hesabu sana na kuwanyongonyesha kwa air strike za mara kwa mara mdogo mdogo wametema bingo😂😂
 
Wanaume kazini dakika za jioni

- Radwan forces have entered the battle, showcasing their strength against militants in Homs' countryside.

- Confirmed reports indicate the imminent arrival and participation of Iraqi and Yemeni fighters.

@meiaagency
 
Wakuu,kuna habari za hivi punde zinasema Mji wa Homs teyari umeshatekwa na Waasi wa Kisunni.,THS

Kwahiyo sasa Waasi wote wanaenda Damascus kama Nyuki.😆

Huenda Assad akanyongwa kama Saddam Hussain wa Iraqi.
 
Hahahahaa leo nakuunga mkono umeongea uhalisia. Achana na jews jombaa. Wamemlia timing wakati mrusi yuko bize na Ukraine na hezbollah kachapika wakajua jamaa hana wa kumsaidia. Iran kaja na mikwara wapi.
Sijawahi kuacha kuongea uhalisia inategemea wewe unaliangaliaje nnalolisema
 
Bado unaendelea kunilisha maneno Shaheed zimetungua maeneo mangapi yanayolindwa na AD za nato kwamba mwanzo Ukraine alikua ananunua tb2 ila kwasasa kachemka kaamua kuzalisha mwenyewe Ukraine aligundua kwamba tb2 hazina maajabu zilikua na effects ya muda mfupi baada ya kugundulika madhaifu yake zikawa zinaangushwa sijui kuanguka tu huko field zenyewe bila kuguswa pili usipende kudanganya watu Ukraine inayopewa msaada wa karibu billion ngapi sijui wa pesa wangeshindwa kumpa hio mikopo akanunua hizo tb2 kama zina ubora huo Ukraine anapewa mikopo mingapi washindwe kumpa mkopo wa kununua tb2 hapa umetupanga tena
 
Kwenye huu mgogoro mumeaibika sana Dunia nzima imeona LIVE mnavyotandikwa na kukorogwa huku Allah akiwa amewatosa.
Mmemtandika nani nyie wauwaji watoto, mnawakimbia askari
mnaenda uwa watu wasio nahatia. Kweli dunia nzima imeshuhudia mpaa mahakama mlizo zitengeneza ili ziwazuru warabu na wafrika mnasema sasa hazifai 🤣
 
Punguza makasiriko shekhe hizbollah wapo Damascus baada ya kuiteka tel aviv na haifa kumsaidia Assad na habari za hivi punde ni kwamba waasi wamerudishwa nyuma mpaka idlib tuendelee kunywa kahawa shekhe hakuna kafiri hatashinda huko
 
IQ kubwa inaonyesha kupitia Intelligence mnawekewa hadi Pager zenye mabomu eti Inshaala.😆😆😁
IQ yakufake kuwa nyie ndio wenye kiwanda hio ndio IQ hivi we upo sawa akilini. We hujui dunia nzima iliwadharau hao unao waita wana IQ. Hio IQ gani ya kufake na kupandikiza maboom huo ni ugaidi wala sio IQ. Nenda kapime akili zako we ni.mpishi tu.
 
Hujui kama Condom huwa inatumika kwa muda muafaka na wakati mwingine huwa inatupwa jalalani.

Nyie Jamaa mna IQ za kunywea Kahawa na kutukana Dini nyingine kuwa ni "Kafiri", Daima hamutawaweza Wazayuni.

Wazayuni ni sio level yenu ni IQ kubwa sana.
Nyie kuitwa makafiri sio matusi bali ni sifa yenu ama uhalisia wenu
 
Ah wapi!

Wameshapatana na wamagahribi!

Na wamagharibi walivyo wanafiki na kauli mbiu yao "we don't negotiate with terrorists".

Ila wamefika dau na huyo gaidi.
Ugaidi ni Idiolojia unaweza ukaachana nazo mfano mwanzo alikuwa anaamini na anapigania Dola la Kiislamu katika Ardhi ya Levant. ambayo ni Syria Jordan na Lebanon Israel nk.

Lakini sasa kabadilika kabisa anataka kuikomboa Syria tu na kuuondoa Utawala wa Kidikteta wa Bashir Al Assad umeona hiyo U turn?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…