Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Hizo ndoto za makafiri ambao ni wakristo na wayahudi zitafanikiwa kwa temporary tu sababu Allah anapima iman za waislam. Kule Gaza msahau wale wanaume imani ipo juu, we huoni hakuna silaha haikutumiwa pale lakini wanaume wapo kazini.

We furahi lakini hadithi ya Mtume Muhammad iko wazi tokea zamani, alisema Israel atapigana vita na Lebanon na atafika mpaa Syria, lakini bada ya hapo ndio wakumbuke hivi, Waisrael watajikusanya sehemu moja kùtegemea wana enjoy kumbe ndio mwisho wao
Tuombeane aman kaka vita siyo nzur ndugu yangu
 
Sasa wewe unapinga kama nani wakati wao wamekubaliana kugawana Keki?!

Waturuki mnawalaumu Wazayuni mnawalaumu Wasunni mnawalaumu ninyi mnachopenda ni Ayatula Hamas na Hezbola.
Kwa chanzo kipi cha habari ?
Ww jana mara ya mwisho usiku si uli tuambia kuwa waasi wamesha ingia Homs na wanajeshi wa serikali wamesha anza kuukimbia mji ?
 
Tuo
Nina uchungu kweli nimesikitishwa sana na waislam wa kiarabu, lakini wakati mwingine bora afadhali kuliko potelea mbali sijui kama hawa jamaa wakiikamata Syria middle east machafuko hayataisha ni wakorofi na wahuni kweli
Tuombee amani ndugu yangu

Jeshi la Syria limetuangusha wewe mpaka Putin mwenyewe kasusa

Mimi katika vita hii nilikuwa na Assad bega kwa bega
 
Sheikh Imhotep!

Acha ubishi! Umesema elimu yote ya uislamu kwa sasa ipo kwenye internet basi niletee kitabu cha Imam Suyutwi cha Houjatum mudhakkiriina.
----------
Kwenye internet Qur'an ipo nzima kimatini, na kitarjum yaani kuibadilisha Qur'an kutoka kwenye lugha yake ya asili ya kiarabu kwenda kwenye lugha isiyo ya kiarabu, ila siyo kitafsiri.

Aya moja ya Qur'an inafafanuzi mpaka 40, utakuta wapi kwenye internet? Na hapo prngine ni tafseer ya kitabu kimoja tu hujaenda kwenye kitabu kingine.

Hiyo dini nzima kwenye internet unaikutia wapi?
--------------
Mawahabi wameonesha kupingana na Salaf us Salih na Ahlu sunnah wal Jama'a (ambapo hapa nawazungumzia sunni) kwenye nyanja tofauti.

Mpaka kufikia kuandikwa vitabu na wanazuoni wa kisunni kuonya juu ya fitna zao.

Vitabu kama Umara Al Baladil Haraam. Kilichoandikwa na mwalimu wa wanawazuoni huko Makka, Mufti wa madheheb ya Shafii, Sheikh Ahmad Bin Zayni Dahlan aliyekufa mwaka 1304 Hijiria sawa na mwaka 1887, Vitabu kama Fitnatul Wahabiyya (Fitna ya Mawahabi) n.k

Imam Naswawi ambaye ni mwanawazuoni wa kisunni anasema katika suratul fatwir aya ya 6 anasema mahawabiya wote ni Junudi Shayatwiin, jeshi la mashetani.

Kwa uchache ndiyo hivyo! Wewe si muislam na si sunni, hivyo huna cha kunifundisha mimi muislam ambaye ni sunni.

Na sunni huwezi kumsikia akigombana na Shia, au Ibadh n.k

Au kugombana na mkristo. Au kuchinja wakristo, Sunni hizo tabia hawana!

Sasa umkute wahabi aliyeiva kwenye itikadi utamkoma! Atakuona wewe ambaye si muislam hapa duniani umekuja kwa bahati mbaya! Yaani Imhotep hao unaowafurahia wakikudaka ndiyo mwisho wa kuchat hapa Jf.

Na Muislam ambaye hafuati msingi wa itikadi yao amepotea! Ukikaa vibaya muislam mwenzake huyo huyo wahabi atakupa jina la wewe ni mshirikina, kuchinjwa ni lazima. Yaani atamchinja muislam mwenzake.

Wewe endelea kusheherehekea na magaidi wenzako hao Isis.
Mkuu basi. Kama hajakuelewa hawezi tena kukuelewa.
 
Kwa chanzo kipi cha habari ?
Aljazeera
Jana nilisema Waasi wa Kisunni wameingia kwenye Viunga vya Mji wa Homs na mapigano yanaendelea Waasi wengine wamezunguka baada Daraja kulipuliwa na Majeshi ya Assad.
 
Uwanja umeinama naungana na ITR Assad asipotoka mara hii hatakaa atoke tena na waasi wakimshindwa mara hii hawatakaa wamuweze tena ila mpaka sasa sijatupa taulo kwa Assad ingawaje kimsingi yupo na hali tete
Upande wa homs wamepata upinzani mkali sasa wameamua kuzungukia kusini.
 
Uwanja umeinama naungana na ITR Assad asipotoka mara hii hatakaa atoke tena na waasi wakimshindwa mara hii hawatakaa wamuweze tena ila mpaka sasa sijatupa taulo kwa Assad ingawaje kimsingi yupo na hali tete
Assad baada ya kuwashinda waasi hapo awali alikuwa na nafasi nzuri ya kutafuta suluhu ya kisiasa ila alipuuza hilo....kwa Sasa ana kibarua kizito
 
Aljazeera
Jana nilisema Waasi wa Kisunni wameingia kwenye Viunga vya Mji wa Homs na mapigano yanaendelea Waasi wengine wamezunguka baada Daraja kulipuliwa na Majeshi ya Assad.

Umeyakataa maneno yako mwenyewe jana ulisema wanajeshi wamesha ukimbia mji.
Tuletee link ya hiyo habari tuisome au hata screen shot ya hiyo habari .
Yaani Uturuki anafanya kila aina ya vurugu kuwadhibiti wakurdi leo hii akubali wawe na mamlaka karibu na mipaka yake?
 
Mimi nakuambia wacha kuwasikiliza Aljazeera , Al Arabiya na Western media. Assad hatolewi mtakuja niambia hao wapinzani wataishia kuza tomato kule Turkey na Israel
Assad atabaki kwenye Kichwa chako tu kama Raisi lakini huko Syria Wananchi wamemchoka.
 
Assad baada ya kuwashinda waasi hapo awali alikuwa na nafasi nzuri ya kutafuta suluhu ya kisiasa ila alipuuza hilo....kwa Sasa ana kibarua kizito
Golden Chance, lakini alizidiwa nguvu na Ayatolah baada ya kusaidiwa, Syria ikawa kama Koloni ya Wairan.
 
Back
Top Bottom