Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Hivi wewe huwa ni Sunni au Shia mbona una ka IQ hafifu sana?!
Mimi ni Muislam sio sunni wala sio Shia lakini hao wote ni ndugu zangu as long wanasema Mungu ni mmoja tu na Mtume Muhammad ni Mtume wa Mungu.
 
— ❗️🇮🇷/🇸🇾 Javar Larijani, top advisor to the Supreme Leader, Imam Khamenei: 'Resistance forces have entered the field, and are organized. The Syrian Arab Army can no longer defend Syria, this matter should have been in our hands from the beginning.'

@Middle_East_Spectator
 
Kuna mtu aliawahi kuuliza Israel ilishindaje vita siku 6 😀😀😀.

Sasa hili Jeshi la Assad lingekuwa linapigana na IDF lingeweza kumaliza hata siku ?

Israel ingechukua Damascus siku Moja tu
IDF hii hii inayoingia Mwaka wa pili wakipambana na Hamas wasio na Silaha??
 
Wakuu, Mji wa Homs wote umetekwa na Waasi wa Kisunni wa HTS, Waasi wamefungulia Wafungwa wote waliokuwa kwenye Gereza kuu la Homs.
 
Back
Top Bottom