GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna hata gari ya mrusi
View: https://x.com/Osint613/status/1865709754313744723?t=7ebyGdq2lAwvviOgJFwPCA&s=19
Mara ya kwanza nimekubaliana na wewe, nilidhani Mrusi na Iran watamsaidia kumbe hamna lolote.Vipi, bado unabisha? Adiosamigo
Tukiwaambiaga acheni kuwa wabishi Malaria 2 yuko wapi?!Mara ya kwanza nimekubaliana na wewe, nilidhani Mrusi na Iran watamsaidia kumbe hamna lolote.
Allah ndio kawasaidia we hujui hio inaweza kuwa ni mipango ya Allah, Israel ajiangalie hao ndio watamshughulikia vizuri sasa.Tukiwaambiaga acheni kuwa wabishi Malaria 2 yuko wapi?!
YAHWEH kawasaidia Sunni ushindi, Allah kaingia mitini. Kwako Adiosamigonini maoni yako?
Mbona Allah kasubiri makubaliano ya kusitisha Vita kwa siku 60 ndio akaanza kuwasaidia Waasi wa Kisunni?Allah ndio kawasaidia we hujui hio inaweza kuwa ni mipango ya Allah, Israel ajiangalie hao ndio watamshughulikia vizuri sasa.
😂😂 Ila huyu Assad hakuzitendea hali, mwenzi 5 tu kaziweka mwenye AC yeye zipo store 😂😂😂Duh hizo ndo gari sasa siyo zile za lugumi
We wachana na ujinga Allah siku zote anawapa mitihani watu wake hivi unadhani Mitume kama Mussa. Ibrahim, Yesu na Muhammad walikosa kupewa mitihani. Ukiona hupati mitihani ogopa sana kuna watu huwa hata hawaugui lakini siku akiugua ndio kwaheri.Mbona Allah kasubiri makubaliano ya kusitisha Vita kwa siku 60 ndio akaanza kuwasaidia Waasi wa Kisunni?
Mbona Allah kagoma kuwasaidia Watu wa Gaza.
Hao walikuwa ni Mitume wa Yahweh Allah anaingiaje hapo?!Mitume kama Mussa. Ibrahim, Yesu
Hatujakimbia mkuu bali hakuna cha kujadili.
Allah ni mmoja tu we baki oh kuna miungu hata hao kina Mussa watakucheka.Hao walikuwa ni Mitume wa Yahweh Allah anaingiaje hapo?!
Mungu wa Moses hakuwa Allah mtakuwa mumedanganywa mahala.Allah ni mmoja tu we baki oh kuna miungu hata hao kina Mussa watakucheka.
Okay kichaa we baki hivyo hivyo unavyo amini utakuja jua umeisha Chelewa , sijui labda kaburini.Mungu wa Moses hakuwa Allah mtakuwa mumedanganywa mahala.
Lakini ujue Ustazi sote hatuwezi kuwa sahihi kwenye hili, ni lazima mmoja wetu atakuwa amedanganywa.Okay kichaa we baki hivyo hivyo unavyo amini utakuja jua umeisha Chelewa , sijui labda kaburini.
Walianbiwa wasipigane na waziri wa majeshi na chief of staff kuna askari hapa amehojiwa.Barabara ya M5 inayoelekea Damascus imejaa Magari ya Deraya Vifaru BMs nk. vitu vingine ni Maelfu na Maelfu ya Sare za Jeshi la Assad zilizotelekezwa mpaka najiuliza au Wanajeshi wa Assad walikuwa wanatembea na Mifuko ya Rambo ikiwa na Nguo zao za Kiraia?🫨😯
Wameambiwa na nani?Wazayuni?Walianbiwa wasipigane na waziri wa majeshi na chief of staff kuna askari hapa amehojiwa.