Damu ya Ben Saanane sasa yaanza kuipasua CCM

Damu ya Ben Saanane sasa yaanza kuipasua CCM

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Damu ya kijana mbichi kabisa iliyomwagwa na lizee la miaka 60 sasa imeanza kujibu mapigo.

Dhihaka, dharau na kila aina ya madhila yanamuandama aliyeimwaga. Waliomuunga mkono kwa aina ya maisha na hulka alizokuwa nazo wanaumia mioyoni na akilini. Wanatamani asisimangwe hadharani. Lkn haiwezekani.

Kujiondoa ktk mkukuruko, mtikisiko na mkanganyo huu uchunguzi ufanyike ama taarifa ya kweli itolewe hadharani kuhusu kifo cha kijana huyu asiye na hatia.

Ukoo wa mhusika utoke hadharani na kuomba radhi, msamaha wa dhambi utolewe Mambo yataisha.

Bila kufanya hivyo, amini, amini anawaambieni hapatasalia jiwe juu ya jiwe. CCM inaenda kupasuka.

Ngumi zitapigwa hadharani. Visasi vya mauaji vitatamalaki na Lumumba hakutatulia.

Kila auaye kwa upanga hufa kwa upanga.
 
Damu ya kijana mbichi kabisa iliyomwagwa na lizee la miaka 60 sasa imeanza kujibu mapigo.

Dhihaka, dharau na kila aina ya madhila yanamuandama aliyeimwaga. Waliomuunga mkono kwa aina ya maisha na hulka alizokuwa nazo wanaumia mioyoni na akilini. Wanatamani asisimangwe hadharani. Lkn haiwezekani.

Kujiondoa ktk mkukuruko, mtikisiko na mkanganyo huu uchunguzi ufanyike ama taarifa ya kweli itolewe hadharani kuhusu kifo cha kijana huyu asiye na hatia.

Ukoo wa mhusika utoke hadharani na kuomba radhi, msamaha wa dhambi utolewe Mambo yataisha.

Bila kufanya hivyo, amini, amini anawaambieni hapatasalia jiwe juu ya jiwe. CCM inaenda kupasuka.

Ngumi zitapigwa hadharani. Visasi vya mauaji vitatamalaki na Lumumba hakutatulia.

Kila auaye kwa upanga hufa kwa upanga.

Tukiwaambia
CHADEMA hakuna Sera mnabisha!

Tukiwaambia CHADEMA mnatembelea kivuli cha Magufuli Mnabisha!

Pamoja na Lissu kuitumia Hoja ya Ben Saanane na Wengineo,ili kuusaka urais bado hakuweza kuushawishi Umati kumchagua!

Kuna watu wengi Sana wenye uzito kuliko hata Ben Saa Nane wameifia nchi hii,kwa kutafuta haki ya wengi.

Lakini kamwe,hawajatumika majukwaani kuombea kura!

Tunaujua ,Tunauishi na kuuona ubaya wa CCM.

Lakini ifike mahali,wale wanaojipambanua kuwapigania wananchi.

Wajue kwamba kila kitu kina gharama zake!
kwa hiyo unapoamua kuingia vitani...umekubaliana na chochote kitakakachotokea.

Ndio maana Duniani tunao kina....
Che-Guevara,Patrice Lumumba,Steve Biko,Malcolm X,Chris Hani,Eduardo Mondlane na kina Dedan kimathi.

Hao kwa uchache,na kutokea sehemu tofauti Duniani.

Waliamua na kuzifia Imani za harakati zao.

Kwamba ukisema kwa uchache....

Hata "Damu" ya
CHACHA WANGWE!

Nayo inao wake inaowatafuna!

Tafuteni sera za kuikabili CCM kwa kupata ushawishi toka kwa Raia,badala ya kuishi kama wasimbe!

Siasa ni mchezo mchafu.....
 
Damu ya kijana mbichi kabisa iliyomwagwa na lizee la miaka 60 sasa imeanza kujibu mapigo.

Dhihaka, dharau na kila aina ya madhila yanamuandama aliyeimwaga. Waliomuunga mkono kwa aina ya maisha na hulka alizokuwa nazo wanaumia mioyoni na akilini. Wanatamani asisimangwe hadharani. Lkn haiwezekani.

Kujiondoa ktk mkukuruko, mtikisiko na mkanganyo huu uchunguzi ufanyike ama taarifa ya kweli itolewe hadharani kuhusu kifo cha kijana huyu asiye na hatia.

Ukoo wa mhusika utoke hadharani na kuomba radhi, msamaha wa dhambi utolewe Mambo yataisha.

Bila kufanya hivyo, amini, amini anawaambieni hapatasalia jiwe juu ya jiwe. CCM inaenda kupasuka.

Ngumi zitapigwa hadharani. Visasi vya mauaji vitatamalaki na Lumumba hakutatulia.

Kila auaye kwa upanga hufa kwa upanga.
Ben aliuwawa na chadema wenzako alikuwa PS wa mbowe aulizwe mbowe

USSR
 
Legacy yote ziiiii!

Zile stori za SGR haziongelewi tena. Sasa hivi sote tumemnukuu Makamba kwamba jiwe alikuwa ibilisi ndiyo maana kafa mapena
Makamba mme wake aliyekufa alikuwa ibilisi pia ?


USSR
 
Naona unajipaka kinyesi mdomoni halafu unacheka. Ama kweli ujinga ni mzigo
Sasa hivi chadema mnapokea tu maelekezo na kutekeleza inavyotakiwa.

Bora hata TLP hali yao inafahamika tangia mwanzo ila si kwa hili anguko la aibu la Chadema.

Mbwembwe zote zile mkaja kutulizwa na asali kidogo tu.

Kwisha habari yenu.

Lisu kalipwa mafao yake, Mbowe kafutiwa kesi .

Kimyaa.
 
Mkutano mkuu wa ccm 7-8 December 2022 uligeuka kuwa kijiwe cha kumnanga jiwe. Safi sana
Ule ni mkutano wa kiume siyo Chadema Wabunge 20 Wote akina mama hii ina maana Chadema haina wababa zile suruwali ni mavazi tu
 
Makamba mme wake aliyekufa alikuwa ibilisi pia ?


USSR
Ama kweli mtenda mabaya hulipwa mabaya.

Kichwa cha gazzeti "Magufuli atukanwa kwenye mkutano mkuu wa ccm"

Legacy yote ziiiiiiiiiii!!!
 
Back
Top Bottom